Akihutubia katika ufunguzi wa Kampeni huko Kinondoni, Waziri msaafu Bwana Steven Wassira amesikika akitamka mbele ya hadhara kuwa anatamani kucheza Biko, kwa kuwa ni mchezo wa hela Nyingi na unamuona mtu akikabidhiwa kitita chake Live.
Awamu hii siasa haina madili, uwe upinzani, au chma tawala. Tutamani hadi kucheza Vigodoro awamu hii
Awamu hii siasa haina madili, uwe upinzani, au chma tawala. Tutamani hadi kucheza Vigodoro awamu hii