Ningekuwa mshauri wa CCM ningeshauri wawaondoe Wasira na Ben kwenye list ya kampeni yao..coz hawana sera ila matusi na personal attacks ambazo haziwasaidii chochote wana-Arumeru. Hawa wazee sijui busara zao wamepeleka wapi..kwa nini wasiige kwa Salim A. Salim, Warioba etc unapanda ndege all the way na per diem, accomodation 400k per day alafu unakuja kuongea ujinga kwenye jukwaa.. Bora tungekuwa hatuna uchaguzi kama N. Korea..