Wassira atimka na daftari la wadhamini

Wassira atimka na daftari la wadhamini

image.jpg image.jpg image.jpg image.jpg image.jpg image.jpg

Ninyi na mahusiano ya jinsia ya moja msituletee Bunda, HUKO HUKO Kawe-Dar Es Salaam...Sasa yeye Katumwa na Mume wake agombee Ubunge, ninyi wapambe Msije mkajifunza mambo ya Lamu na Mombasa, Oct akishindwa Ubunge anarudi Dar kuwaacha na tabia ZA ajabu HAPO Bunda
 
Tanzania mambo yanaenda kienyeji sana, sasa alichofanya Wasira kama ni kweli sio kosa kisheria?? Na kama ni kosa si alitakiwa awe exempted kwenye kinyang'anyiro???

kwa ccm hamna kosa, angefanya hivyo wa chadema, angeshakatwa.
 
natamani wasira akamatwe na kuwekwa ndani kwa kukimbia na nyaraka za serikali , huyu mzee ana mawazo ya kizamani sana ! tamaa tu ! tangu nyerere mpaka leo unataka uongozi tu ?
 
Ni nani mwenye wajibu wa kutunza hilo daftari. Na kama liliibwa na Wasira, Bualaya angekuwa na makosa gani?
 
View attachment 279031View attachment 279032View attachment 279033View attachment 279034View attachment 279035View attachment 279036

Ninyi na mahusiano ya jinsia ya moja msituletee Bunda, HUKO HUKO Kawe-Dar Es Salaam...Sasa yeye Katumwa na Mume wake agombee Ubunge, ninyi wapambe Msije mkajifunza mambo ya Lamu na Mombasa, Oct akishindwa Ubunge anarudi Dar kuwaacha na tabia ZA ajabu HAPO Bunda

Mama Samiah Suluhu nae unasemaje? Tena yeye anataka kuwa makamu wa rais kabisa...
Unataka atuharibu mabinti nchi nzima?
Nyamaza wewe huna ujualo.
 
Wasirra ajiandae kulia jukwaani kama mtoto.
Mafuriko ya Bulaya si ya kitoto.
 
Kinachotakiwa sasa ni Bulaya kupewa ulinzi au kuchukua tahadhari za kiusalama
 
Back
Top Bottom