Wassira atimka na daftari la wadhamini

Wassira atimka na daftari la wadhamini

Hivi watu wa Bunda na ukorofi wenu woote juyu sokwe anawasumbua atakavyo, mtangulizeni mbele ya haki akatusubiri salama
 
DC - kada wa CCM na policcm unatarajia nini. Polisi hao wapo kwa ajili ya wapinzani na wanachuo tu. Oktoba si mbali yataisha tu hayo.
 
Bulaya hawezi kushinda wakati wamemdhulumu Pius haki yake.

Pius yule jambazi sugu! Kiukweli kamati kuu wangemuacha huyo jambanoka aisee mzee wasira angeshinda uchaguzi
 
Bunda tunampa kura zote Esther Bulaya mzee wassira safari hii uchawi wake umekwama....
 
Steven-Wasira.jpg
Bulaya-20July2015.jpg
Msimbe kapendeza dah!
 
Inamaana tume haifanyi kazi ya kiadilifu,hiyo ni dalili mbaya ta upendeleo
Mzee Lubuva ameshika kiberiti na petroli,ni jukumu lake kuwa makini,ama aivushe nchi salama au airumbukuze machafukoni kwa kuharibu kuibeba CCM.
Awe jaji mstaafu muadilifu kama warioba,ambae ataendelea kuheshimika kwa kufanya vizuri sehemu yake.
Apate mfano ndani ya ccm kwenyewe ambako ubabe umekizika chama kikiwa hai
 
Mbinu za kihuni na za kitoto kama hizi na kauli za kibabe kama tutashinda hata kwa goli la mkono, hatutegemei kura za wanywa viroba ni miongoni mwa mambo ambayo yamechosha wapiga kura wengi ndio maana tunataka mabadiliko.
 
Back
Top Bottom