Wassira atimka na daftari la wadhamini

Wassira atimka na daftari la wadhamini

bulaya it seems unatikisa bunda eeh?? wana bunda tupeni hali ya upepo hapo bundaz
 
Halafu mkuu wa wilaya anasema eti ni makosa tu ya kibinadamu!Wakati ni uvunjifu wa amani na ukosefu wa maadili.

Si ndo hapo sasa! Wakati angekuwa raia tu wakawaida isingekuwa kosa la kibinadamu bali ndo ingekuwa chakula ya polisi siku hiyo
 
Nipo tatizo la viongozi ccm wanajiona kama wao ndo wanaomiliki hii nchi
 
daftari la wadhamini ni mali ya serikali, mtu kuondoka nalo ni kuvunja sheria, bunda hakuna polisi? hawakupewa taarifa? au ndio kawaida ya bora liende?
Mkuu sheria,haki,uzalendo na busara kwa watanzania havipo tena tumebaki na uroho na ushabiki wa kisanii was kulindana sio wa kulinda haki za walio wengi.
 
Steven-Wasira.jpg
Bulaya-20July2015.jpg



Duuuh...hapo ndio kafurahi...? Basi kura hapati, maana ana wasiwasi mno
 
bulaya it seems unatikisa bunda eeh?? wana bunda tupeni hali ya upepo hapo bundaz

Wazee kwa vijana, wake kwa waume wanamuunga mkono bulaya, licha ya kuwa alikuwa mbunge wa viti maalum lakini alikuwa anapiga kazi kama yeye ndo mbunge wa jimbo yaani alikuwa amemfunika kabisa mbunge wa jimbo. Kwa wale wasiojua vizuri mambo hadi sasa wanadhani ndo alikuwa mbunge wa jimbo la bunda
 

Nimefungua hii picha nikiwa na mwanangu wa miaka minne ghafla akadondoka huku akilia kwa sauti na kuita baba baba ... nilipomwuliza nini kasema shetani. nikapatwa na wasiwasi sana nikamdadisi japokuwa hakutaka hata kufumbua macho yake akasema kwenye simu yangu kuna picha ya shetani ndo nikarud mara ya pili kuzichek picha tulizongua nae (za wasira&bulaya) ndo nikahisi ndo tatizo maana aliziona. nilipomwuliza tena akasema hiyo juu yaani ya tyson ninecheka mpaka basi maana kweli picha ya mbunge inatisha sana.
 
Mimi nilifikiri baaada ya kumtwanga katibu wa wilaya asingeendelea tena kuzusha vurugu march kumbe bado anaendelea?
Kesho kutwa akipigwa chini ataanza kuwapiga wananchi maana najua hana uvumilivu kabisa
 
Nimefungua hii picha nikiwa na mwanangu wa miaka minne ghafla akadondoka huku akilia kwa sauti na kuita baba baba ... nilipomwuliza nini kasema shetani. nikapatwa na wasiwasi sana nikamdadisi japokuwa hakutaka hata kufumbua macho yake akasema kwenye simu yangu kuna picha ya shetani ndo nikarud mara ya pili kuzichek picha tulizongua nae (za wasira&bulaya) ndo nikahisi ndo tatizo maana aliziona. nilipomwuliza tena akasema hiyo juu yaani ya tyson ninecheka mpaka basi maana kweli picha ya mbunge inatisha sana.

Acha akili mbovu wewe eboo!!
Unadhani amejiumba huyo, uwe na staha, badala ya kuleta ushabiki vibama hapa..!
 
Halafu mkuu wa wilaya anasema eti ni makosa tu ya kibinadamu!Wakati ni uvunjifu wa amani na ukosefu wa maadili.
Unajua hili jeshi la polisi ni la kudharau sana,lenyewe kumbe linaubavu kuwadhibiti wapinzani tuu tena bila kufuata sheria.
Nakumbuka 2010 kwenye uchaguzi Kisena yule wa UDA alimchapa makofi OCD wa Maswa na eti akaachwa kwa vile ni rafiki wa Riz1 na hata RPC alipoulizwa alijibu kijinga hivyo hivyo eti ni matukio ya kibinadamu. Shxyz! Kabisa hawa watu
 
Wassira ni wakupiga chini hatutaki wabunge mzigo bungeni.
 
Katika hali ya kusikitisha mbunge anayemaliza muda bunda wake mzee wasira jana saa 1:30 asubuhi alienda kujaza daftari la wadhamini baada ya kujaza aliondoka nalo ili wagombea wengine wasijaze.

Mgombea CHADEMA Ester Bulaya alifika kujaza daftari hilo na kukuta daftari hilo halipo hali iliyozua sintofahamu, mwanamama bulaya alichanganyikiwa kwa kweli na kusababisha kuhaha! Baada ya mambo kuwa magumu ilibidi watu wazame kwenye sheria na ndipo wakaja na style ya kumuuliza ester kama ana vitambulisho vya wadhamini wake bahati nzuri alikuwa navyo na jahazi likawa limeokolewa.

Hii ndo ilikuwa mbinu ya mwisho kwa Wasira na kwa kuwa imeshindikana ndo basi tena make kwenye sanduku la kura wasira hamuwezi Bulaya.

Katika kupiga story na mzee mmoja wa CCM hapa jimboni kuhusu haya mambo ya uchaguzi, mzee huyo alifunguka 'tulimuambia mzee Wasira apumzike amuachie huyu binti lakini akawa mbishi, sasa mambo yameharibika huyu binti kaenda upinzani na ndo wanabunda tunayependa atuongoze sote vijana na wazee, huyu binti katufanyia kazi kwa kweli, katusaidia sana wazee katika suala matibabu, hapa wa kulaumiwa ni wasira mwenyewe kwa chama kupoteza hili jimbo'.

Amwachie Msimbe Jimbo,Nani Bunda atakubali?
 
Huyu Oktoba 26 tutampeleka anapostahili kwani mambo anayoyafanya hayaoneshi ustaarabu wa kibinadamu kabisa.
 
Ameliteka kapotea nalo kusikojulikana.Yaani majanga na lazima atapiga mtu dalili ya mvua ni mawingu.

Mi nasikia kucheka sana........hasa pale ninapoimagine jinsi anakula nalo kona.......Wasira bana........namuheshimu huyu mzee bila hata sababu.......lakini vitendo vyake mi hata sielewi...........
 
Back
Top Bottom