PreGE2025 Wassira asimikwa uchifu Mbeya

PreGE2025 Wassira asimikwa uchifu Mbeya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Makamu Mwenyekiti Wa Chama Cha Mapinduzi Bara Ndg.Stephen wasira amefika tayari Mkoa Wa Mbeya tayari kwa ziara ya Sikuu Nne ambapo atatembelea wilaya zote za Mkoa Wa Mbeya kwa Ajili ya Kusikiliza kero za Wananchi pamoja na kufanya vikao mbalimbal na Viongozi wa CCm Mkoa WA MBEYA

Baada ya kufika mkoa wa mbeya amesimikwa uchifu na chifu mwashinga
1742214907063.png

Soma Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Ila tuache utani, huyu jamaa kwenye ujana wake itakuwa alikuwa anawatwanga ngumu sana watu.

Hapa enyewe ukimchezea kiboya boya unakula ngumi za kutosha
 
Back
Top Bottom