Mh. Wassira amekuwa tishio hasa kwa UKAWA baada ya kuweka wazi mambo yao juu ya wafadhili wanaowafadhili hasa kutoka mataifa ya ughaibuni ili kukwamisha au kuchelewesha mchakato wa katiba mpya kwa watanzania.
UKAWA wamekuwa wa kwanza kuutupa uzalendo wa nchi yao.
UKAWA wamekuwa wa kwanza kuutupa uzalendo wa nchi yao.