Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
Nina orodha ya mawaziri wa JK haki ya nani ningepewa ruhusa ningewashona risasi!
kina nani kwa muono wako? Mi nadhani wote
Nina orodha ya mawaziri wa JK haki ya nani ningepewa ruhusa ningewashona risasi!
Shamsi Nahodha naye analala ila huyu nadhani si mzima.
Ni sasa hivi inaonyeshwa kwenye TV Wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni
hivi m_kwere alitumia vigezo gani kumpa uwaziri huyu jamaa?
Ni sasa hivi inaonyeshwa kwenye TV Wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni
Kwa sababu ya ngumi.hivi m_kwere alitumia vigezo gani kumpa uwaziri huyu jamaa?
na mimi nimemwona akichapa usingizini sasa hivi inaonyeshwa kwenye tv wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni
hofu yangu anaweza kutembelea gonolamboto,mbagala au baghdad,lusinde anawajibika kumwamusha msharika wake wa arumeru.madaktari wa serikali wamchunguze afya kabisa ikibidi kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri asirudi aibu kubwaaa sana
ulichosema ni kweli pengine anakisukari.ugonjwa huu pia huleta usingizi usio na maandalizi.madaktari wa serikali wamchunguze afya kabisa ikibidi kwenye mabadiliko ya baraza la mawaziri asirudi aibu kubwaaa sana
Alilinganih uwezo wake mwenyewe na huo wa Wassira akaona kuwa Wassira yuko juu sana kuliko wengine wote.hivi m_kwere alitumia vigezo gani kumpa uwaziri huyu jamaa?
labda ana brain concussion!!
Hivi wasira akienda jimboni kwake akasikia na kulalamkiiwa kuna mtendaji kama dakatari au mwalimu analala wakati wa kazi atapendekeza nini?