democratic
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 1,642
- 295
mike iron tyson wa ccm
Eti huyo ndiyo Think tank wa Presida!
Ni sasa hivi inaonyeshwa kwenye TV Wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni
Hili ni janga
Hivi wasira akienda jimboni kwake akasikia na kulalamkiiwa kuna mtendaji kama dakatari au mwalimu analala wakati wa kazi atapendekeza nini?
Eti huyo ndiyo Think tank wa Presida!
hivi m_kwere alitumia vigezo gani kumpa uwaziri huyu jamaa?
Msisahau anatumia dozi! Hamwachi tu kumsemasema think tank wa taifa? Alishawaambia anatumia dawa -sijui ni ARVs au dawa gani ziletazo usingizi! Hongera JK kwa uteuzi tukukaNi sasa hivi inaonyeshwa kwenye TV Wassira akiendelea kupeta kwa kulala saana bungeni