PreGE2025 Wasomi wanaomsifia Rais Samia wasema wanachukizwa kuitwa chawa, wasema wao ni watu wenye akili timamu

PreGE2025 Wasomi wanaomsifia Rais Samia wasema wanachukizwa kuitwa chawa, wasema wao ni watu wenye akili timamu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
 
Hao vidampa tutawaita chawa maana wao ndio walijiita hivyo.

Cc: Lucas Mbwa Wa Shamba.
images (93).jpeg
 
Wakuu vijana wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.

View attachment 3221053
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"
Siku zote uwa nashangaa sana hivi vitaasisi vinavyoibuka Kila Leo na kujipachika vimajina vya Kila namna kwamba vinamsemea Rais,,
Kazi anazozifanya Rais zitajieleza zenyewe kwa wapiga kura wake Wala aiitaji kusemewa na mtu,,kizuri chajiuza kibaya chajitembeza,,kujiweka mbele na kudai unamsemea Rais ndio uchawa wenyewe huo tunaousema kwa maana yeye mwenyewe anao mdomo wa kujisemea kupitia mazuri anayoyafanya na sio magenge ya watu ambao wanatafuta fursa zao za upigaji na maslai binafsi kwa mgongo wa kumsemea Rais!
Ni mambo ya ovyo ovyo Aya yamekuwa kama ya kawaida sasa hivi,,unachukia kuitwa chawa wakati unafanya kazi ya uchawa ndio tukuekeweje???
 
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.

View attachment 3221053
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"
Hawa jamaa wanavaa kofia wote kabla ya kuongea na Waandishi wa habari ili mradi kuficha Ujinga wao.

Eti Msomi amefanya utafiti, kafanya observation .

pumbafu kabisaa
 
Sasa kaniki tuiiteje wakati rangi yake inajitanabaisha yenyewe !
 
Uchawa ni tabia mbaya kama ilivyo ya upumbavu.
Kwani kwenye jamii ya watu waelewa wanaojitambua utasikia kiongozi akisifiwa na kuabudiwa kama Mungu ??
Kiongozi kutimiza wajibu kwani ni hisani ?
Kwani anatumia Hela yake binafsi au kodi za wananchi ??
 
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.

View attachment 3221053
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"
Chawa kwenye ubora wake
 
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.

View attachment 3221053
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"
Duniani kote, wasomi hujipambanua kwa ujasiri wao wa kuanika na kupaza sauti dhidi ya udhalimu wa watawala. Hawa watoto sio wasomi. Sijui nani kawadanganya kwamba nao ni wasomi. Ni machawa watoto!
 
Ee mwenyezi Mungu hawa wanaukana binadamu wao tunakuomba uwape wanachostahili. Amina
 
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Watu wenye akili timamu hawafanyi huo upumbavu mnaofanya nyie lazima mumetindikiwa akili. Mnampongeza kwani analipwa mshahara wote huo na marupurupu lukuki kwa kazi gani? Yaani mimi nikiwalipia school fees watoto wangu nahitaji kupongezwa kweli? Hivi huko chuoni mnasomea upumbavu?
 
Wakuu, wasomi wanaomsifia mama naona wameumia bhana kuitwa chawa wanasema wao wana akili zao timamu na hawafanyi kwa mihemko.
Katibu wa vijana na uhamasishaji wa taasisi ya Samia for Us, Gerald Mandago ambaye pia ni Msomi wa chuo kikuu akiambatana na wanafunzi wa vyuo mbalimbali amesema wamejipanga kuanzisha kampeni ya kumsemea Rais Samia huku akionesha kuchukizwa na jina la kuitwa "Machawa"

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waache sasa kumsifia katika vitu visivyokuwepo ndio wataeleweka
 
Back
Top Bottom