Wasomi wa nchi hii wana maisha magumu sana. Nimepita hapo Law school vijana wengi na masuti yao

Yaan una phd halaf uko kitengo na mwenzio ana bachela,huo ni uzwazwa,..bachela ni elim tosha sana,labda kama unataka ukafundishe ..na kwa jins hao phds walivoweng skuhiz vyuo had vikuchekeche kwanza,si ajab baada ya miaka miwil wenye phd nao wakawa wanatembea na mibahasha barabaran
kwa hiyo wenye masters,PHD ni wajinga?
 
Sawa,ila wanapoteza muda kuongeza elim kwa minajir ya kufanikiwa maisha,..sio enz hiz
Nani kakwambia Ivo. Kibali Cha Kusema Ivo unakitoa wapi?Wewe ni Mganga Wa Kienyeji?Jeh Wewe ni Nabii? Adi uweze kujua Kesho za watu
Be Gratefull Kijana.
Kuna Kitu Kikubwa Unakikosa Katika Uelewa Wako wa Maisha.
Any way uwezo wako wa Kufikiria na Expirience zako za Maisha zimeishia hapo.
Pole
 
Mkuu unajua ķitu kinachoitwä specialization? Èlimu uliyoipata bado haijakusadia maana ingekusaidia hili suala uliĺoliandikia wala usingekuwa na muda naĺo
Mkuu elim ndogo ya bachela imenisaidia saaana,
 
Mkuu mi nmesoma coet udsm miaka minne,nna gamba na gpa nzur tuu,lakin sihitaj kuongeza tena elim et ndio niwe na maisha mazur,kwa Tz hii,
Sasa we layman unawezaje kujilinganisha na hao learned men or brothers of the land ?.
Watu wenye viprofession inferior kama nyinyi ndiyo huwa mnapenda sana kutoa hizi lay accusations.

Personally nawakubali sana hao jamaa profession yao ni demanding sana kujiupgrade daily na iko regulated sana tofauti na viprofession uchwara.

Ukikutana nao kadegree kako unakaficha matakoni.

Lawyers msikatishwe tamaa na hawa laymen
 
Swal dogo tuu,unajua wanaohitim kila mwaka kwa daraja la degree Tz na wanaoingia kwenye ajira?..sasa tayar unajua una bachela na kaz huna,kujiajir hutak na bado unaenda kuongeza elim ya juu zaid.we una akil kwel
Nani kakwambia Ivo. Kibali Cha Kusema Ivo unakitoa wapi?Wewe ni Mganga Wa Kienyeji?Jeh Wewe ni Nabii? Adi uweze kujua Kesho za watu
Be Gratefull Kijana.
Kuna Kitu Kikubwa Unakikosa Katika Uelewa Wako wa Maisha.
Any way uwezo wako wa Kufikiria na Expirience zako za Maisha zimeishia hapo.
Pole
 
Sawa,ila ukwel ndo huo,..bachela ina tosha sana kwa maisha ya Tz,kuongeza elim zaid ya bachela et ili uajiriwe ua uongezwe mshahara katka enz hii ni kupoteza mda...wanaohitim vyuo vikuu kila mwaka na idad wanaoingia kwenye ajira rasmi unaijua..ukifaham hili bas utafunga huo mdomo wako
Umesoma lakini hujui kitu
 
Unajua professional requirements zao au unaropoka tu ?
Sawa,ila ukwel ndo huo,..bachela ina tosha sana kwa maisha ya Tz,kuongeza elim zaid ya bachela et ili uajiriwe ua uongezwe mshahara katka enz hii ni kupoteza mda...wanaohitim vyuo vikuu kila mwaka na idad wanaoingia kwenye ajira rasmi unaijua..ukifaham hili bas utafunga huo mdomo wako
 
Tukijiajiri wote nani ataajiriwa? Tukiajiriwa wote nani atajitahidi? Ngoja wanaotaka masters degree au zaidi wasome, wengine wataishia elimu za ufundi-veta na wengine hata std 7.

Mwisho tutapata collection ya kila tunachohitaji.
 
Hahaha,hujaelewa mada.na mi siendesh paso mkuu,gar yangu ni expensive kwa kijana wa kawaida,fatilia nyuz zangu utajua naendesha gar gan...

Mada yangu ina maana hii...bachea inatosha sana kwa maisha ya bongo,mi mwwnyew nna bachela,unakuta mtu hana kaz,hajajiajir,anaamin kwamba akienda ongeza masters or wateva ndo atapata ajira au maisha kua bora,kumbe zama zmebadilika,..kila mtu ana magamba hayo skuhiz...changamsha akil ndio utafanikiwa
Acha watu wasome bhana. Namsomesha mdogo wangu masters(japo alikua hataki, anataka mtaji)
Sio kwamba mi ni dictator bali umri wake unaruhusu bado kusoma.

Akimaliza masters naamini akili itakua imepevuka vizuri so hata nikimpa mtaji nitakuwa na amani na pia utamsaidia.

So sio kila mtu anayesoma inakuwa ni option yake bali pengine ni shinikizo na sio kila anayesoma hana bright future tayari.
And by the way dogo anaendesha Vanguard na bado anasoma so acha dharau na kiyoyozi chako.
 
Swal dogo tuu,unajua wanaohitim kila mwaka kwa daraja la degree Tz na wanaoingia kwenye ajira?..sasa tayar unajua una bachela na kaz huna,kujiajir hutak na bado unaenda kuongeza elim ya juu zaid.we una akil kwel
Kwani Kila anae soma Lazima aajiriwe?Wengine wanasoma Ili Kutimiza Ndoto zao
Lakini Napoleon Unajua Maana Ya Elimu?
 
Back
Top Bottom