Wasomi wa nchi hii wana maisha magumu sana. Nimepita hapo Law school vijana wengi na masuti yao

Kuna wengine wamezaliwa na wanasoma ili waajiriwe tu na hakuna namna nyingine so tusiwabeze waache wapambane
 
Weng hamjaelewa ujumbe wangu,na inaonyesha hata darasan ilikua ngum sana kufaulu

graduates anamaliza first degree na 23 yrs. au 22 huyo ndie alieunganisha shule..

umri huo kweli ni mdogo kupewa mtaji??

ndio maana wahindi, wachaga, wazungu anatuajiri milele..

kina bill gate, zuckerberg, uber tax, waliacha chuo kabisa na age 19 tu.. kwenda kufanya business.. we miaka 23 unasema mdogo kufanya business
Acha watu wasome bhana. Namsomesha mdogo wangu masters(japo alikua hataki, anataka mtaji)
Sio kwamba mi ni dictator bali umri wake unaruhusu bado kusoma.

Akimaliza masters naamini akili itakua imepevuka vizuri so hata nikimpa mtaji nitakuwa na amani na pia utamsaidia.

So sio kila mtu anayesoma inakuwa ni option yake bali pengine ni shinikizo na sio kila anayesoma hana bright future tayari.
And by the way dogo anaendesha Vanguard na bado anasoma so acha dharau na kiyoyozi chako.
 
kama una bechela basi nchi hii ina wakati mgumu sana endapo miaka yote umeshindwa kuelimika kwa kiwango hicho, any way mimi ni kundi la akina musukuma
 
Umesoma uzi mkuu?nlisema hao wa law ni mfano tuu ..
Usikimbie mada mkuu maana inaonekana you are uninformed kuhusu legal profession.
Umekurupuka tu hangover zako za bia ndani ya kapasso kako unaanza kudhalilisha watoto wa watu kwenye hili jukwaa.

Be a man njia uliyoipita wewe siyo wote wataipitia.
Unachokiwaza wewe siyo wanachokiwaza wenzako.
Ndoto zako siyo ndoto zao

Umedhalilisha sana COET kutoa product kama wewe
 
Tukijiajiri wote nani ataajiriwa? Tukiajiriwa wote nani atajitahidi? Ngoja wanaotaka masters degree au zaidi wasome, wengine wataishia elimu za ufundi-veta na wengine hata std 7.

Mwisho tutapata collection ya kila tunachohitaji.
Mkuu mi nadhan hujaelewa uzi...ishu ni kwamba,mtu umesoma tayar,una bachela,huna ajira,na kujiajir huwez,unaenda ongeza elim ili iweje,hii sio Tz ilee,vijana inabid waamke
 
Acha watu wasome bhana. Namsomesha mdogo wangu masters(japo alikua hataki, anataka mtaji)
Sio kwamba mi ni dictator bali umri wake unaruhusu bado kusoma.

Akimaliza masters naamini akili itakua imepevuka vizuri so hata nikimpa mtaji nitakuwa na amani na pia utamsaidia.

So sio kila mtu anayesoma inakuwa ni option yake bali pengine ni shinikizo na sio kila anayesoma hana bright future tayari.
And by the way dogo anaendesha Vanguard na bado anasoma so acha dharau na kiyoyozi chako.
Kama anaendesha vanguard yake sawa,ila kama sio yake,tabu iko palepale
 
Nani kakwambia Ivo. Kibali Cha Kusema Ivo unakitoa wapi?Wewe ni Mganga Wa Kienyeji?Jeh Wewe ni Nabii? Adi uweze kujua Kesho za watu
Be Gratefull Kijana.
Kuna Kitu Kikubwa Unakikosa Katika Uelewa Wako wa Maisha.
Any way uwezo wako wa Kufikiria na Expirience zako za Maisha zimeishia hapo.
Pole
Punguza povu au dawa imekuingia?.
 
Well,nmepita hapo naona vijana wanatoka kufanya mtihan nadhan,wanaenda kudandia daladala...wamependeza na suti zao kwelkwel,

Anyways,elim ni ufunguo wa maisha ila inabid tusome nyakat ndugu zanguni

Hawa vijana ambao wamesoma 4yrs sheria na zaid wanaenda ongeza mwaka m1 zaidi ili kuendelea kupalilia elim ili maisha yawe mazur zaid,hawa ni mfano tuu wa kund kubwa ambalo linaamin kwa kuendelea ongeza elim ndo kutawatoa zaid,..si discourage hili ila nasisitiza kua

Someni nyakat

Mim binafs nna bachela In somethn na naona elim hyo inanitosha,kuendelea na mashule nmeona napoteza mda tu sabab hyo bachela sio kwamba imenitoa kihivyo,vimishahara vyenyenye nkifananisha na nondo nilizokula havifanan,..wazee wa Coet mtanielewa

Ni bora muda huo na hko kidogo unachopata ujifunze elim ya mtaan jinsi ya kukuongeza zaid,

Kiukwel elim za chuo kikuu ni kubwa sana ,huhitaj kuongeza unlesa unataka kua mwalim

Period.
Kwa hiyo kila mtu aishie na bachelor, kuwa lecturer au researcher inabidi uwe na PhD angalau Masters. Kila mtu ana malengo yake ya kielimu na huwezi kubeza mchango wa wasomi wenye viwango vya juu kabisa vya elimu na uelewa kwenye kuibuliwa kwa teknolojia mbalimbali ambazo zimekuwa msaada kwa jamii ya binadamu. Mfano, kuna PhD nyingi za watu kwenye gunduzi mbalimbali upande wa tiba (madawa, chanjo na uboreshaji wa tiba), teknolojia kama simu za mkononi, vyombo vya usafiri nk.
 
Kama anaendesha vanguard yake sawa,ila kama sio yake,tabu iko palepale
Hata kama kapewa na kadi ya gari imeandikwa kwa jina lake kuna shida gani?

Nilichogundua we Mr umetoka maisha ya dhiki na una wivu sana. Umefanikiwa kidogo basi unachanua pua na unataka kila anayefanikiwa apitie struggles zako. Hicho kitu kamwe hakitawezekana. Hatufanani.
Jifunze sana kuheshimu maamuzi ya watu.
 
Sawa,ila wanapoteza muda,elim ya bachela ni tosha kufanya mambo africa hii..nawaonea huruma,sabab hakuna ajira
Mimi nadhsn wewe ndo Huelewi, law school sio kwamba ni degree nyingine yani ni sawa na injinia anapomaliza miaka4 anaandika ripoti ili asajiliwe.... Sasa wao hawaandiki ripoti, wanapiga pepa pale law school!!
 
Mkuu mi nadhan hujaelewa uzi...ishu ni kwamba,mtu umesoma tayar,una bachela,huna ajira,na kujiajir huwez,unaenda ongeza elim ili iweje,hii sio Tz ilee,vijana inabid waamke
WEWE NDUGU NYAMAZA HUJUI KITU.. YOU ARE IGNORANT ...

HAO VIJANA HAWAWEZI KUWA MAWAKILI BILA KUPITA LAW SCHOOL.

KWAHIYO, POINT YAKO NI KUWA HUTAKI VIJANA WAWE MAWAKILI AU NINI?
 
Tofauti na zamani, siku hizi kuna ushindani mkubwa sana katika ajira. Siku hizi kuna wasomi lukuki. Karibia kila nyumba kuna degree holder.

Hata siku moja usidanganyike ukaacha kusoma eti kisa ajira au mahahara kiduchu.

Tunaposema "Elimu ufungua wa maisha" hatumaanishi ukiwa na degree utamiliki gari yako, utajenga nyumba nzuri na utakuwa na familia bora.

Elimu inafungua mambo mengi sana tofauti na milango ya uchumi. Unapokuwa mjuzi wa jambo fulani mathalani "sheria" unaweza kutumia ujuzi huo kutetea watu wanaoonewa kwenye jamii yako. Hapo utakuwa unafungua maisha ya jamii yako.

Ajira ni changamoto ya kiulimwengu.
Kikupwa kupambana usiku mchana ili mradi ule.

#MKAMATE SANA ELIMU
#SOMA KITU UNACHOPENDA

ASANTE

Hii ni dalili ya Hofu ya usilolijua.
Ajira haina cha ushindani mkubwa. Ni kua ajira haipo jumla. Serikali haiajiri.
Watu wanavigezo vyote lakini hawapati. Ukweli Elimu imeshuka thamani. Sio ufunguo wa maisha. Ni heri ambaye hajasoma anaendesha maisha yake. Hategemei wazazi wala kulialia kwa ndugu. Anajiamini.
Ada unayolipa malekcha, ungeigeuza mtaji. Ungeshakua mbali. Kuliko elimu unayoenda kuisaka. Na wanachokuuzia hakiji kubadili maisha yako wala kuja kukitumia. Na hata mshahara kiduchu, wale waliokukopa bodi ya mikopo wanakuja kukunyang'anya hapo. Nimeshuhudia watuwanaacha Kazi serikalini kwakua maisha ni magumu.
Pia Elimu inakufanya inakuongezea Uoga wa kujiajiri kazi za kawaida zenye kutengeneza riziki. Mwenye Elimu anakua kama amelaaniwa nchi hii. Ndio wanaongoza kwenda kwenye maombi na kunywa maji yenye chumvi kama waganga wa kienyeji ili kupata ajira. Ndio wanaoongoza kushindwa kufunga ndoa mapema. Na wengine kuishia kuzalishwa bila ndoa. Huu ni ukweli mchungu. Sehemu pekee ya uhakika nchi hii ni kwenye siasa.

Mkamate elimu ni sawa, lakini Maisha ya sikuhizi ni Elimu tosha. Hii elimu ya juu ni kukompliketisha maisha. Jinsi unavyosoma sana ndivyo umri unavyosonga na ndio jinsi unavyozidi kua muoga wa maisha.
 
Back
Top Bottom