Wasomi wa nchi hii wana maisha magum sana,nmepita hapo law school vijana weng na masuti yao nawaangalia nasema,hiiii

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,087
15,960
Well,nmepita hapo naona vijana wanatoka kufanya mtihan nadhan,wanaenda kudandia daladala...wamependeza na suti zao kwelkwel,

Anyways,elim ni ufunguo wa maisha ila inabid tusome nyakat ndugu zanguni

Hawa vijana ambao wamesoma 4yrs sheria na zaid wanaenda ongeza mwaka m1 zaidi ili kuendelea kupalilia elim ili maisha yawe mazur zaid,hawa ni mfano tuu wa kund kubwa ambalo linaamin kwa kuendelea ongeza elim ndo kutawatoa zaid,..si discourage hili ila nasisitiza kua

Someni nyakat

Mim binafs nna bachela In somethn na naona elim hyo inanitosha,kuendelea na mashule nmeona napoteza mda tu sabab hyo bachela sio kwamba imenitoa kihivyo,vimishahara vyenyenye nkifananisha na nondo nilizokula havifanan,..wazee wa Coet mtanielewa

Ni bora muda huo na hko kidogo unachopata ujifunze elim ya mtaan jinsi ya kukuongeza zaid,

Kiukwel elim za chuo kikuu ni kubwa sana ,huhitaj kuongeza unlesa unataka kua mwalim

Period.
 
Sasa mtu wa LLB asipoenda law school unadhani LLB yake itakua na kipi cha ziada au atafanyia nini?
Ni sawa na mtu aliyesoma uhasibu bila CPA au mtu amesoma architecture bila kutambuliwa na bodi ya architects au engineer asiyetambulika na bodi ya engineers
 
Maisha hayaruhusu kila mtu kuwa na usafiri, ingekuwa hivo basii magari yangekosa pa ku park humo LST.
 
Uko sawa kabsa,ila yote hayo ya nin?kqa mazingira ya ajira yalivyo dunia ya sasa..halaf kwanin vyote hvyo visiwekwe package moja,..mtu anasulubika kusoma yote hayo na bado anakuja sota mtaan,..inabid vijana wasome nyakat,muda unakwenda....yaan nibora ujiajir kuosha magar au kuuza matunda kuliko kuendelea poteza mda shule,elim ya bachela ni kubwa mnoo haiitaj ziada,kwa nchi zetu hiz kama Tz
Sasa mtu wa LLB asipoenda law school unadhani LLB yake itakua na kipi cha ziada au atafanyia nini?
Ni sawa na mtu aliyesoma uhasibu bila CPA au mtu amesoma architecture bila kutambuliwa na bodi ya architects au engineer asiyetambulika na bodi ya engineers
 
Nasemaje habar ndio hyo,..kama nawee ni m1 wapo bas unapoteza mda,..ajira hakuna na ukibahatika sana utaambulia mshahara wa lak6,sasa kwann usitumie elim hyo uliyonayo kufanya mambo unaenda kuhangaika kuongeza nyingne,tija ni nin hapo?kwa nchi kama hii..heb nambie,usinambie mambo ya elim haina mwisho,..kua mkwel
Hii bachela uliyo nayo ndo unaandika ujinga huu? Kweli kiwango cha elimu kimeshuka
 
Uko sawa kabsa,ila yote hayo ya nin?kqa mazingira ya ajira yalivyo dunia ya sasa..halaf kwanin vyote hvyo visiwekwe package moja,..mtu anasulubika kusoma yote hayo na bado anakuja sota mtaan,..inabid vijana wasome nyakat,muda unakwenda....yaan nibora ujiajir kuosha magar au kuuza matunda kuliko kuendelea poteza mda shule,elim ya bachela ni kubwa mnoo haiitaj ziada,kwa nchi zetu hiz kama Tz
Tatizo ndo ushamaliza chuo hivi karibuni. Umeanza kushika shika hela za kukufanya ukae pale Samaki Samaki jioni. Unaendesha Alteza au Brevis, IST. Unaona maisha ushayapatia. Unakuja humu unaandika rubish. Dogo huna maisha bado. Acha kuongea ujinga.
 
Back
Top Bottom