Wasomi wa nchi hii wana maisha magumu sana. Nimepita hapo Law school vijana wengi na masuti yao

Dharau akat bado wanaomba hela kwa wazaz ya kwenda shule,
wanambwembwe na dharau haoooo, hasa wakuone wewe ni mwenzao mlisoma wote Law harafu unafanya kazi ingine tofauti na sheria kwa sababu ulikosa pesa ya kujiunga law school, yaani wanaona umepotea kabisa
 
Sawa,sawa mkuu nmekusoma
Bro nakuunga mkono. Usiposhtuka mapema ukakalia Kula kitabu tu na kutafuta kazi, utazeeka maskini ukiwa Frustrated.

Mimi nilimaliza chuo mojawapo hapa Dar na Degree ya mambo ya Ujenzi, nikaajiriwa. Niliishia kutumikia wengine maisha yao yakisonga huku mimi nikishindwa kujinunulia hata vitu vidogo kwa ufinyu wa mshahara. Niliamua kuacha na kujitosa mtaani. Mambo sio mazuri sana bado coz ndo nimeanza lakini kuna matumaini. Najitumikia mwenyewe.

Wenzangu wasomi tuamke, zama za kupata cheti ukatumikie taifa zimepitwa na wakati. Kama unataka mafanikio. JIAJIRI
 
Well,nmepita hapo naona vijana wanatoka kufanya mtihan nadhan,wanaenda kudandia daladala...wamependeza na suti zao kwelkwel,

Anyways,elim ni ufunguo wa maisha ila inabid tusome nyakat ndugu zanguni

Hawa vijana ambao wamesoma 4yrs sheria na zaid wanaenda ongeza mwaka m1 zaidi ili kuendelea kupalilia elim ili maisha yawe mazur zaid,hawa ni mfano tuu wa kund kubwa ambalo linaamin kwa kuendelea ongeza elim ndo kutawatoa zaid,..si discourage hili ila nasisitiza kua

Someni nyakat

Mim binafs nna bachela In somethn na naona elim hyo inanitosha,kuendelea na mashule nmeona napoteza mda tu sabab hyo bachela sio kwamba imenitoa kihivyo,vimishahara vyenyenye nkifananisha na nondo nilizokula havifanan,..wazee wa Coet mtanielewa

Ni bora muda huo na hko kidogo unachopata ujifunze elim ya mtaan jinsi ya kukuongeza zaid,

Kiukwel elim za chuo kikuu ni kubwa sana ,huhitaj kuongeza unlesa unataka kua mwalim

Period.
"The aim of education is not to prepare someone to live, but itself is life"-prof.john Dewey.So mkuu ndio maisha hayo sijui ulitakaje? ukivaa suti usipande daladal?
 
Tatizo la vijana wengi wa Tanzania ni kudhani kwamba matatizo yao yatamalizwa na ajira ndo maana unakuta mtu pamoja kwamba anaweza kuwa na milion 20 kwa akaunt yake lakin bado akawaza na kujuta kwanini hakuajriwa,

Hii yote ni kutokana kukosa elimu ya mtaani kutoka kwa wazazi na watu waliomzunguka, pili ni kutokana na kukosa washauri wa nini ajikite nacho tokea mwanzo,
Tatu elimu ya madarasani haiendani na mtaa unavyotaka,

Shtuka jiajiri
 

Rais Magufuli angesikiliza watu kama nyie leo hii angekuwa Chato anafuga na kukamua maziwa ya Ng'ombe.

Vijana wanakumbana na changamoto kubwa sana ya vijiushauri uchwara kutoa kwa watu kama nyie,na mpo wengi sana.

Nawasihi vijana wanaopitia huu uzi na wapo masomoni,wasome kwa bidii,kukimbilia gari na suti ni vizuri zaidi kuliko kukimbilia gari na box la biscuits na maji!

Watu kama nyie mkisikilizwa tutatengeneza taifa la wajinga wajinga hivi,mapopoma!

Rais Kikwete aliwahi kusema,za kuambiwa changanya na zako.
 
Hahaha siku hizi wanaitwa WAZALENDO hao!, lakini tukirudi nyuma, tunajiuliza wangefanya nini zaidi ya wanavyofanya?! Sio wote watakao ajiriwa, wengine wanataka waweze ku qualify ku practice ili wafungue Law firm zao. Huo ndio utataribu wa sheria siku hizi hapa kwetu. Baada ya bachelor lazima uende lawa school 1 year, ili uwe wakili msomi.
Biashara nayo siku hizi kashinda as na na serikali, mara majeshi nayo. Ujenzi TBA, JKT na JWTZ wamechukua sasa unadhani kitatokea nini mwisho?! Tutaanza kupata professional thieves. Utaanza kusikua JAMBAZI engineer, MD, Pharmacist, na kadhalika.
Minaunga mkono hao ni "WAZARENDO" sana hawasomi nje ya nchi na wanatumika humuhumu.
 
Mimi sipendezwi na kuwavalisha masuti kutwa nzima wakati hawana magari binafsi, wanakuja na daladala mpaka Simu 2000 wanaswaga vumbi mpaka chuoni huku wanasweat! Bora waache wavae casual kwasababu wapo darasani. Suti zivaliwe kwenye occasions maalum!
 
Nyi mbona kama hamjaelewa mada,..mim nawalenga wale ambao tayar wana bachela lakin bado wanaona haitosh wanaenda ongeza kwa minajir ya kupata ajira au mshahara ambao ni mdogo saaana
kuna watu waliacha shule ili wajiajiri leo hii wanatamani kurudi shule na kuna waliosoma sana ila wanamaisha ya kawaida nao wanalaani kusoma wanasema bora ningejiajiri mapema, haya maisha hayana formula.
 

Rais Magufuli angesikiliza watu kama nyie leo hii angekuwa Chato anafuga na kukamua maziwa ya Ng'ombe.

Vijana wanakumbana na changamoto kubwa sana ya vijiushauri uchwara kutoa kwa watu kama nyie,na mpo wengi sana.

Nawasihi vijana wanaopitia huu uzi na wapo masomoni,wasome kwa bidii,kukimbilia gari na suti ni vizuri zaidi kuliko kukimbilia gari na box la biscuits na maji!

Watu kama nyie mkisikilizwa tutatengeneza taifa la wajinga wajinga hivi,mapopoma!

Rais Kikwete aliwahi kusema,za kuambiwa changanya na zako.
Inatia simanzi sana kuona kijana anawakatisha tamaa vijana wenzake kisa yupo kwenye passo ya mkopo ili hali na yeye kapitia huko huko.

Anashindwa kuelewa wakati na yy anasoma kuna watu pia walikuwa wanamuona naye ni boya tuu.
 

Rais Magufuli angesikiliza watu kama nyie leo hii angekuwa Chato anafuga na kukamua maziwa ya Ng'ombe.

Vijana wanakumbana na changamoto kubwa sana ya vijiushauri uchwara kutoa kwa watu kama nyie,na mpo wengi sana.

Nawasihi vijana wanaopitia huu uzi na wapo masomoni,wasome kwa bidii,kukimbilia gari na suti ni vizuri zaidi kuliko kukimbilia gari na box la biscuits na maji!

Watu kama nyie mkisikilizwa tutatengeneza taifa la wajinga wajinga hivi,mapopoma!

Rais Kikwete aliwahi kusema,za kuambiwa changanya na zako.
Inatia simanzi sana kuona kijana anawakatisha tamaa vijana wenzake kisa yupo kwenye passo ya mkopo ili hali na yeye kapitia huko huko.

Anashindwa kuelewa wakati na yy anasoma kuna watu pia walikuwa wanamuona naye ni boya tuu.
 
Bro nakuunga mkono. Usiposhtuka mapema ukakalia Kula kitabu tu na kutafuta kazi, utazeeka maskini ukiwa Frustrated.

Mimi nilimaliza chuo mojawapo hapa Dar na Degree ya mambo ya Ujenzi, nikaajiriwa. Niliishia kutumikia wengine maisha yao yakisonga huku mimi nikishindwa kujinunulia hata vitu vidogo kwa ufinyu wa mshahara. Niliamua kuacha na kujitosa mtaani. Mambo sio mazuri sana bado coz ndo nimeanza lakini kuna matumaini. Najitumikia mwenyewe.

Wenzangu wasomi tuamke, zama za kupata cheti ukatumikie taifa zimepitwa na wakati. Kama unataka mafanikio. JIAJIRI
Mbona wewe umeajiriwa?
 
Back
Top Bottom