Omary Mwenda
Member
- May 20, 2011
- 10
- 0
- Thread starter
- #21
Hoja hujibiwa kwa hoja mzee! Ukiwa mvivu wa kufikiri ovius utakuwa vile vile ni mvivu wa kutoa hoja zenye kumjenga mtu au taifa! Nilitegemea utoe hoja zn niikubali au niikatae bt cjaona logic ya ww kucomment vitu visivyo na mcngi! Lengo letu ni kujengana na sio kutukanana au kupeana kejeli hakuna aliye kamili dats y tupo hapa kujengana! Jenga hoja ujibiwe kwa hoja!