joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
MY TAKE; Ukweli utaendelea kujidhihirisha kila siku
Watakuja kuulizia alipo MagufuliNgoja waje kubisha
Mbona sijawaona hapa?Ngoja waje kubisha
Tanzania ni dola kubwa zaidi ukanda huu, huo ni Ukweli mchungu, meza hiyo.Mataga mna matatizo ya akili, ikifikia hatua kama hii ya kuona sifa wakati mnapondwa live, tena kwa kiswahili, ni kweli kuna tashwishi sehemu flani.
Kipindi hicho cha KTN Tv kinaitwa Siasa za Kanda. Mada, unadhani kwanini viongozi wa Afrika huwa wanaficha hali ya afya zao? Kisha mtangazaji akaanza kwa kutaja mifano ya matukio kama hayo, kutoka kwa Dikteta wa Gabon rais Bongo na pia aliyekuwa rais wa Nigeria, Y'radua na pia rais wa sasa Buhari.
Hawa ni watu ambao kwa wakati mmoja wamepotea kwa miezi na kuficha habari huku wakiwa kwenye hali mahututi wakitibiwa sijui London mara Saudia. Ndio ma'role model wa Jiwe hao. Alafu baada ya kupondwa kwa muda kuhusu demokrasia na uwazi mkatupiwa donge ndogo la kipumbavu na mchanganuzi mmoja, ambaye yupo Marekani. Eti na hapo sasa ndio mmedandia na mkakwamia, mkiwataja wasomi wa Kenya. Wajinga nyinyi!
Hivi watanzania hamna wanahabari wenu na media zenu ambazo zina content za kushirikisha ubongo ambazo mnaeza mkazifatilia? Badala ya kufata fata media za Kenya na kukomalia kwenye Tv mkingoja kwa hamu vipindi ambavyo hata wakenya wenyewe hawavijui?Hivi wa Kenya hamna kazi lazima muongelee Mambo yetu na Ile hali viongozi wenu wanapiga. Kwani moi na kibaki walikuwa wanatibiwa wapi.
Mimi hata sijashughulika kuangalia video. Nilipoona tu mtoa Mada nilijua yaliyo kwenye video na mambo tofauti Sana na anayoongolea mtoa mada. Yani jamaa mwenyewe huwa malenge malenge tu, ataokota picha mtandaoni ya Simba akiua fisi alafu afungue uzi eti Simba wa Kenya wafa njaa na kuanza Kula fisi. 🤣🤣Mataga mna matatizo ya akili, ikifikia hatua kama hii ya kuona sifa wakati mnapondwa live, tena kwa kiswahili, ni kweli kuna tashwishi sehemu flani.
Kipindi hicho cha KTN Tv kinaitwa Siasa za Kanda. Mada, unadhani kwanini viongozi wa Afrika huwa wanaficha hali ya afya zao? Kisha mtangazaji akaanza kwa kutaja mifano ya matukio kama hayo, kutoka kwa Dikteta wa Gabon rais Bongo na pia aliyekuwa rais wa Nigeria, Y'radua na pia rais wa sasa Buhari.
Hawa ni watu ambao kwa wakati mmoja wamepotea kwa miezi na kuficha habari huku wakiwa kwenye hali mahututi wakitibiwa sijui London mara Saudia. Ndio ma'role model wa Jiwe hao. Alafu baada ya kupondwa kwa muda kuhusu demokrasia na uwazi mkatupiwa donge ndogo la kipumbavu na mchanganuzi mmoja, ambaye yupo Marekani. Eti na hapo sasa ndio mmedandia na mkakwamia, mkiwataja wasomi wa Kenya. Wajinga nyinyi!
Mimi nimeamua kuitizama nikitaka kujua sana hao wasomi ndio kina nani. Hujakosea lakini, nimepigwa na butwaa kupata humo ndani ni watanzania na rais wao na serikali yao ndio wanapondwa. Kama ilivyo kawaida kwa huyu mleta mada na mada zake za kuwapotosha wenzake wale bendera fuata upepo wa kubebewa akili.Mimi hata sijashughulika kuangalia video. Nilipoona tu mtoa Mada nilijua yaliyo kwenye video na mambo tofauti Sana na anayoongolea mtoa mada. Yani jamaa mwenye huwa malenge malenge tu, ataokota picha mtandaoni ya Simba akiua fisi alafu afungue uzi eti Simba was Kenya wafa njaa na kuanza Kula fisi.
Hongera kwa 'kusifiwa' na nyang'au.Tanzania ni dola kubwa zaidi ukanda huu, huo ni Ukweli mchungu, meza hiyo.
Wazembe ata kusoma reports, huwa wanakurupuka na ka paragraph ama headline tu, hawajui the contents, wanajipiga risasi kwa mguu kirahisi sana ., Huu uzembe wa Tz nimeanza kuona ni laana. Ni wa kiaina, wa kipekee!!Mataga mna matatizo ya akili, ikifikia hatua kama hii ya kuona sifa wakati mnapondwa live, tena kwa kiswahili, ni kweli kuna tashwishi sehemu flani.
Kipindi hicho cha KTN Tv kinaitwa Siasa za Kanda. Mada, unadhani kwanini viongozi wa Afrika huwa wanaficha hali ya afya zao? Kisha mtangazaji akaanza kwa kutaja mifano ya matukio kama hayo, kutoka kwa Dikteta wa Gabon rais Bongo na pia aliyekuwa rais wa Nigeria, Y'radua na pia rais wa sasa Buhari.
Hawa ni watu ambao kwa wakati mmoja wamepotea kwa miezi na kuficha habari huku wakiwa kwenye hali mahututi wakitibiwa sijui London mara Saudia. Ndio ma'role model wa Jiwe hao. Alafu baada ya kupondwa kwa muda kuhusu demokrasia na uwazi mkatupiwa donge ndogo la kipumbavu na mchanganuzi mmoja, ambaye yupo Marekani.
Eti na hapo sasa ndio mmedandia na mkakwamia, mkiwataja wasomi wa Kenya. Wajinga nyinyi!