Ila akiwa ndani ya serikali ni kuharbu tu mfano mdogo inshu ya mafuta walioharbu ni wasomi walioko ndani ya serikali alafu wasomi walioko nje ya serikali wanawapinga kuwa hapa mnaharbuMsomi akiwa nje ya serikali ni kulalamika tu
Vipi mkuu mbona unaandika UJINGA kiasi hiki?Katika mapitio mengi ya kuisogeza nchi yetu kanaani na kujikomboa toka minyororo ya umaskini,ujinga na maradhi hawa wanaojiita wameenda shule ndio wanatuangusha
Wao kila kitu cha serikali ni kibaya kina kasoro na blabla kibao!
Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Wengi wao ni hewa tu basi mawazo yao ni ulaghai
Tusikubali kutumiwa kwa maslahi binafsi wanatutumia ka ngazi
Khaa!Katika mapitio mengi ya kuisogeza nchi yetu kanaani na kujikomboa toka minyororo ya umaskini,ujinga na maradhi hawa wanaojiita wameenda shule ndio wanatuangusha
Wao kila kitu cha serikali ni kibaya kina kasoro na blabla kibao!
Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Wengi wao ni hewa tu basi mawazo yao ni ulaghai
Tusikubali kutumiwa kwa maslahi binafsi wanatutumia ka ngazi
So Akiwa ndani ya serikali ni kukula tuu, haina shida kama wale wa ESCROW, manake wote walotajwa tunaona wanabembea na viti mjengoniMsomi akiwa nje ya serikali ni kulalamika tu
Aaah wanyonge nyuma ya keyboard!!!!!!ππππ‘π‘π‘ Jiulize wasomi wakweli wengi wako nje au ndani ya serikali.Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Vipi mkuu mbona unaandika UJINGA kiasi hiki?
IQ yako ni ya story za umbea kule chitchat huku hupawezi!!
Huna hoja wewe zuzu, ni vyema uendelee kujikita kwenye Mada za kuwahoji wadada
Kanaani ndio nini?
Wewe saizi yako ni kujadili misambwanda ya mdangaji mwenzako Wema Sepetu mengine yamekuzidi akili.
Hii ndio kazi anayoiweza hapa jf!!Huna hoja wewe zuzu, ni vyema uendelee kujikita kwenye Mada za kuwahoji wadada
Huyo ni bingwa wakuhoji warembo na watanashati huko CHIT CHAT.Wakuu kwani vipi?
Pumbavu kabisa huna akili..Katika mapitio mengi ya kuisogeza nchi yetu kanaani na kujikomboa toka minyororo ya umaskini,ujinga na maradhi hawa wanaojiita wameenda shule ndio wanatuangusha
Wao kila kitu cha serikali ni kibaya kina kasoro na blabla kibao!
Hawa ndo waandamanaji hewa! Nyuma ya keyboards!
Hawa hawaaminiki jamani wanyonge wenzangu!
Tushikamane na rais wetu
Wengi wao ni hewa tu basi mawazo yao ni ulaghai
Tusikubali kutumiwa kwa maslahi binafsi wanatutumia ka ngazi
na walio serikalini ni kuvuruga tu.Msomi akiwa nje ya serikali ni kulalamika tu