cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Katika uchunguzi uliofanyika hivi kari buni katika chama kinachoongozwa na Dkt. Magufuli imeonyesha wale wenye elimu za chini watatupiliwa mbali katika mchakato wa kuania ubunge kwa tiketi ya ccm Tanzania Bara.
Kauli ya Job Ndugai kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwajibu wapinzani kupitia mitandao huenda kikawa kigezo kikubwa
Eitha Ili Rais kuepuka kurudia kuwapa nafasi kwenye uwaziri waliotumbuliwa pia imezingatiwa.
Rais Magufuli katika kauli zake mara nyingi husema wasomi ndo watapewa kipaumbele na teuzi zake huangalia kigezo cha usomi kwanza
Kwa hiyo wale wafanyabiashara wanaoingia bungeni kwa kutumia .umaarufu wa biashara akina Msukuma,Kishimba na wengineo huenda wakapigwa chini kwenye mchujo.
Akina Kibajaji kupenya ubunge itakuwa kazi ngumu sana na wengi wenye elimu kama Kibajaji
Elimu shahada kwenda juu watapewa kipaumbele kwanza
Kauli ya Job Ndugai kuwa wabunge wengi wa CCM wanashindwa kuwajibu wapinzani kupitia mitandao huenda kikawa kigezo kikubwa
Eitha Ili Rais kuepuka kurudia kuwapa nafasi kwenye uwaziri waliotumbuliwa pia imezingatiwa.
Rais Magufuli katika kauli zake mara nyingi husema wasomi ndo watapewa kipaumbele na teuzi zake huangalia kigezo cha usomi kwanza
Kwa hiyo wale wafanyabiashara wanaoingia bungeni kwa kutumia .umaarufu wa biashara akina Msukuma,Kishimba na wengineo huenda wakapigwa chini kwenye mchujo.
Akina Kibajaji kupenya ubunge itakuwa kazi ngumu sana na wengi wenye elimu kama Kibajaji
Elimu shahada kwenda juu watapewa kipaumbele kwanza