Mkuki mchungu
New Member
- Apr 9, 2011
- 3
- 0
Jamani mi nimeshindwa kuvumilia. kuna tetesi nilizipata toka kwa mwanazuoni mwenzangu kuwa dada mmoja(kitivo kapuni) wa hapa UD, amezalishwa na mnene mmoja (jina kapuni)hv mwenye madigrii kibao na vyeo kibao na heshima kibao. Cha kushangaza eti alimtosa mdada na mtoto. Kinachoniumiza zaidi ni jinsi mi binafsi NNAVYOMZIMIKIA jamaa kwa msaada wake anaoutoa full time hasa kwa wanazuoni. Jamaa anaonekana poa tena verry civilized inakuwaje hapa?? LAWSCHOOL.
Nliamua kuzifatilia na nkaambiwa huyo mdada alipigwa stop home kwao pale aliposhibishwa na jamaa na akahifadhiwa kwa muda na jamaa. Nlijifanya researcher nkaenda hadi home kwa mdada na mwanae na nkakuta hali ni ovyo sana tena inasikitisha. mara mtoto akalia, ile kumleta du!!! ni jamaa mtupu.
Mi nlidhani wanaume maskini, mafukara, wasioelimika ndo wanaotosa watoto, kumbe hata wanazuoni??? Tena wenye zao?? sasa hii ni roho mbaya au???
Wababa hakuna mwanamke anayejipa ujauzito. Hebu kuweni na huruma kwa hawa viumbe wa mola. Hv tutalimalizaje swala la utoaji mimba, uuaji wa watoto na watoto wa mitaani kama wote tutafanya hv?? Maisha magumu sana jamani, hebu tutumie walau elimu yetu ya madigrii kwa vitendo. Binafsi mama yangu alitendwa hv na dingi, yani wanajamii, mi na mama yangu tuliishi vibaya mno, nakumbuka kuna vipindi tulikuwa hatuli, wakati baba yangu mzazi alikuwa anabadilisha magari hadi leo yupo (kapuni) ingawa alitujali badaye, ilikuwa too late. Inauma sana. Wanajamii inakuwaje hapa hebu nisaidieni. Ntafatilia zaidi hadi nijue ukweli. Ila da kama ni kweli mi ntasikitika sana, Jamaa nnakuaminia kinoma na mi shabiki wako sana. wacha nfatilie.
Nliamua kuzifatilia na nkaambiwa huyo mdada alipigwa stop home kwao pale aliposhibishwa na jamaa na akahifadhiwa kwa muda na jamaa. Nlijifanya researcher nkaenda hadi home kwa mdada na mwanae na nkakuta hali ni ovyo sana tena inasikitisha. mara mtoto akalia, ile kumleta du!!! ni jamaa mtupu.
Mi nlidhani wanaume maskini, mafukara, wasioelimika ndo wanaotosa watoto, kumbe hata wanazuoni??? Tena wenye zao?? sasa hii ni roho mbaya au???
Wababa hakuna mwanamke anayejipa ujauzito. Hebu kuweni na huruma kwa hawa viumbe wa mola. Hv tutalimalizaje swala la utoaji mimba, uuaji wa watoto na watoto wa mitaani kama wote tutafanya hv?? Maisha magumu sana jamani, hebu tutumie walau elimu yetu ya madigrii kwa vitendo. Binafsi mama yangu alitendwa hv na dingi, yani wanajamii, mi na mama yangu tuliishi vibaya mno, nakumbuka kuna vipindi tulikuwa hatuli, wakati baba yangu mzazi alikuwa anabadilisha magari hadi leo yupo (kapuni) ingawa alitujali badaye, ilikuwa too late. Inauma sana. Wanajamii inakuwaje hapa hebu nisaidieni. Ntafatilia zaidi hadi nijue ukweli. Ila da kama ni kweli mi ntasikitika sana, Jamaa nnakuaminia kinoma na mi shabiki wako sana. wacha nfatilie.