4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 11,301
- 12,952
Wakuu hamjambo wote hapa jf ,niwasalimu kila mmja kwa imani yake.
Rejea mada tajwa hapo juu ,kama ilivyoandikwa
Nipo na wasiwasi iliyo kuu kwamba SSH hakupanga wania urais 2025.
Wenda shida nikupitia kwa majizi ,mafisadi wa nchii hii ,kwenda naye ili kamilisha malengo yao.
Ukiangalia mambo yanavyoenda, kuanzia pitishwa pale Dodoma , unaweza jua kwamba ,kipo kikundi kinacho buruza mamlaka hii ya urais.
Angalia mpaka sasa kwa kesi ya Lissu yanayoendelea , utajua tu kwamba ni mamlaka ya watu wachache kujimilikisha Taifa kupitia Mgongo wa ikulu.
Wenda mama yetu ametekwa sie hatujui japo lawama zote kwake.
Kuna viongozi wamelalamika namna ya kumuona boss wao ambae ni rais ila hatujaliweka manani kabisa .
Rais wetu wenda ametekwa na kupangiwa cha kufanya ? Ni maoni yangu , wewe mdau unasemaje kwa hili?
Karibu kwa mjadala wakuu
Rejea mada tajwa hapo juu ,kama ilivyoandikwa
Nipo na wasiwasi iliyo kuu kwamba SSH hakupanga wania urais 2025.
Wenda shida nikupitia kwa majizi ,mafisadi wa nchii hii ,kwenda naye ili kamilisha malengo yao.
Ukiangalia mambo yanavyoenda, kuanzia pitishwa pale Dodoma , unaweza jua kwamba ,kipo kikundi kinacho buruza mamlaka hii ya urais.
Angalia mpaka sasa kwa kesi ya Lissu yanayoendelea , utajua tu kwamba ni mamlaka ya watu wachache kujimilikisha Taifa kupitia Mgongo wa ikulu.
Wenda mama yetu ametekwa sie hatujui japo lawama zote kwake.
Kuna viongozi wamelalamika namna ya kumuona boss wao ambae ni rais ila hatujaliweka manani kabisa .
Rais wetu wenda ametekwa na kupangiwa cha kufanya ? Ni maoni yangu , wewe mdau unasemaje kwa hili?
Karibu kwa mjadala wakuu