a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,966
- 2,200
CCM NI ILE ILE ,yani aliyekuwa mpinzani ni Magufuli tu..ndiyo alikuwa
Pamoja na mapungufu yake name any ila kwa SIFA YA UZALENDO ,Magufuli alikuwa na uchungu nanTaifa hili,angeweza kulipiga mnada lakini alitetea rasilimali za taifa..alikataa mikataba mibovu..alikataa kuuza bandari..sifa yake mpeni..japo sifahamu kabisa mambo ya siasa lakini..HATA KICHAA TU anaweza kuona kuwa magufuli alikuwa mzalendo ...aisee hata ndugai pamoja na yote ile kauli aliongea aisee ni ya kizalendo sana ..hakuna chawa yoyote anaweza kusema kama alivyosema ndugai
Pamoja na mapungufu yake name any ila kwa SIFA YA UZALENDO ,Magufuli alikuwa na uchungu nanTaifa hili,angeweza kulipiga mnada lakini alitetea rasilimali za taifa..alikataa mikataba mibovu..alikataa kuuza bandari..sifa yake mpeni..japo sifahamu kabisa mambo ya siasa lakini..HATA KICHAA TU anaweza kuona kuwa magufuli alikuwa mzalendo ...aisee hata ndugai pamoja na yote ile kauli aliongea aisee ni ya kizalendo sana ..hakuna chawa yoyote anaweza kusema kama alivyosema ndugai