PAYE
JF-Expert Member
- Jun 19, 2025
- 354
- 395
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema nchi ipo salama, wananchi wakumbushwe na kuhamasishawa kuwapigia kura wagombea wenye sifa ambapo kwa upande wa urais ni Dk. Samia Suluhu Hassan anayetokana na CCM.
Amesema zipo propaganda chafu katika mitandao ya kijamii lakini yanayooelezwa ni upotoshaji, hayana ukweli kwa lengo la kupotosha umma.
Amesema zipo propaganda chafu katika mitandao ya kijamii lakini yanayooelezwa ni upotoshaji, hayana ukweli kwa lengo la kupotosha umma.