1. Ukawa wanasema ni maoni ya wananchi. Kwa nini wanashindwa kusubiri ipelekwe kwa wananchi ishindwe?
2. Kuboresha maana yake nini? Mbona vifungu vingine vikizungumziwa hawasemi tunaacha maoni ya wananchi?
3. Mchakato unafuata sheria iliyotungwa na bunge. Sheria ikikosewa maana yake tuwe na katiba mbovu kwa sababu hiyo?
He! Sokwe kawafunika binadamu?
He! Sokwe kawafunika binadamu?
Kwa hiyo tukubali serikali tatu Kwasababu ya idadi ya mizinga anayopigiwa Raisi??Kwa hoja zipi?
kama nikwakupiga kelele hata mtoto mdogo akigongwa sindano ikamwingia hufunika kwa kelele waaah, waah watu wakapigwa butwaa na kutatizwa na mayowe.
Wassira kashushiwa nondo kapaniki
moja ya swali lilomshinda .ni hili
Dr shein anapigiwa mizinga kama nani kule zanzibar? unakumbuka alijibu nini.............leta majibu.
Wewe ndio umejaza mavi kichwani! Nani anawalazimisha hao UKAWA warudi bungeni??? Hivi unadhani kutokurudi kwao kutazuia mchakato kuendelea! Fikiri upya wewe dada!Hii inaonyesha una mtindio wa aina gani kichwani. Mdaharo tumeuona. Aibu aliyopata waisra ingawa ccm ndiye huwa wanamuona eti ni jembe kahaibika sana. Lissu ni zaidi ya wabunge 250 wa ccm. Wasira analazimisha eti ukawa warudi bungeni ila jamaa wamesema maoni ya ukawa ndiyo haya ya sisi wananchi apa. Sawli maoni ya serikali mbili yamechukuliwa na tume gani?
Kwa hiyo tukubali serikali tatu Kwasababu ya idadi ya mizinga anayopigiwa Raisi??
Kwa hiyo tukubali serikali tatu Kwasababu ya idadi ya mizinga anayopigiwa Raisi??
Umejibu swali?
1. Dr shein anapigiwa mizinga kama nani kule zanzibar? unakumbuka alijibu nini.............leta
majibu
Maana yake
a) Zanzibar ni taifa kamili lenye katiba yake, wimbo wake wa Taifa, bendera yake na amiri jeshi wake
b) Kama ndivyo katiba ya JMT inasema hivyo? kwenye a) hapo juu? nani kavunja katiba ya JMT Jakaya kikwete ndiye alievunja katiba.
Suluhisho
Inahitajika serikali ya Tanganyika kuweka uwiano sawa na kilichoanishwa kwenye a) hapo juu.
Yaan serikali ya Zanzbar, serikali ya Tanganyika na ile ya JMT. Vinginevo Shein hasthili kupigiwa mizinga kama
amirijeshi hana sifa hiyo hapa ndipo Wassira alipokwama kujibu swali. Na hili linawezekana ndani ya serikali-3 tu.
Mwenyekiti wa CCM hiyo hiyo unayoiona kikwazo, Jakaya Kikwete si ndie aliyeleta mchakato wa katiba mpya au?
Huyu aliye post hii mada ni CCM