Wasira kawafunika

Wasira kawafunika

jessenmutta

Member
Joined
Nov 23, 2013
Posts
38
Reaction score
8
Baada ya mdahalo wa leo wasira kaonesha anajua anachokisema na amekomaa kisiasa, Lipumba kajitahd ila tundu lissu karopoka 2 mpaka akajikuta anaongea uongo.
 
Baada ya mdahalo wa leo wasira kaonesha anajua anachokisema na amekomaa kisiasa, Lipumba kajitahd ila tundu lissu karopoka 2 mpaka akajikuta anaongea uongo.
Mambo kama haya ndo yapo hadi bungeni kwenye suala la katiba hakuna mshindi ni maridhiano mkuu,hao wanaojiona wengi wamekwama ndo maana wanataka UKAWA warudi,katiba ni yetu sote wingi si hoja.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mr; e; polepole ni mtoto mdogo sana ila anaufahamu wa hali ya juu kuhusu katiba big up dogo mi naona aliwafunika wote
 
Baada ya mdahalo wa leo wasira kaonesha anajua anachokisema na amekomaa kisiasa, Lipumba kajitahd ila tundu lissu karopoka 2 mpaka akajikuta anaongea uongo.


Kivipi kafunika wakati ccm ndiyo kikwazo je kauli hizi wewe na yeye hamzielewi?


Selina kombani ...........hakuna haja ya katiba mpya ....ccm

Fredriki welema............hakuna haja ya katiba mpya.....ccm

Chikawe......................h akuna haja ya katiba mpya.....ccm

Kinana.........................hakuna haja ya katiba mpya.....ccm


kwanini tusiaamini kwamba ccm ndiyo kikwazo?
 
Mwanzoni watu walidanganywa kuwa mbunge mmoja wa CDM eti ni sawa na wabunge 10 wa CCM, lakini leo tumejionea wenyewe kwamba Wasira mmoja ni sawa na UKAWA 20!!
Hongera Wasira!
 
Mwanzoni watu walidanganywa kuwa mbunge mmoja wa CDM eti ni sawa na wabunge 10 wa CCM, lakini leo tumejionea wenyewe kwamba Wasira mmoja ni sawa na UKAWA 20!!
Hongera Wasira!


Kwa hoja zipi?

kama nikwakupiga kelele hata mtoto mdogo akigongwa sindano ikamwingia hufunika kwa kelele waaah, waah watu wakapigwa butwaa na kutatizwa na mayowe.

Wassira kashushiwa nondo kapaniki

moja ya swali lilomshinda .ni hili

Dr shein anapigiwa mizinga kama nani kule zanzibar? unakumbuka alijibu nini.............leta majibu.
 
Mdahalo ulikuwa unahusu nani anakwamisha katiba mpya. Kuongea mambo ya mizinga kunaonyesha kukosa hoja za mdahalo husika. Wasira amebaki kwenye hoja mwanzo mwisho pamoja na kulazimishwa kutoa majibu nje ya hoja.
 
Mwanzoni watu walidanganywa kuwa mbunge mmoja wa CDM eti ni sawa na wabunge 10 wa CCM, lakini leo tumejionea wenyewe kwamba Wasira mmoja ni sawa na UKAWA 20!!
Hongera Wasira!

Hii inaonyesha una mtindio wa aina gani kichwani. Mdaharo tumeuona. Aibu aliyopata waisra ingawa ccm ndiye huwa wanamuona eti ni jembe kahaibika sana. Lissu ni zaidi ya wabunge 250 wa ccm. Wasira analazimisha eti ukawa warudi bungeni ila jamaa wamesema maoni ya ukawa ndiyo haya ya sisi wananchi apa. Sawli maoni ya serikali mbili yamechukuliwa na tume gani?
 
Asema asilimia 2/3 zanzibar wanao. Waende bungeni basi tuone kama wataipata. Pili wakubali referendum juu ya muungano wa aina ghani iitishwe kwanza waone watakavyoumbuka
 
Mdahalo ulikuwa unahusu nani anakwamisha katiba mpya. Kuongea mambo ya mizinga kunaonyesha kukosa hoja za mdahalo husika. Wasira amebaki kwenye hoja mwanzo mwisho pamoja na kulazimishwa kutoa majibu nje ya hoja.


hoja zipi?
 
Baada ya mdahalo wa leo wasira kaonesha anajua anachokisema na amekomaa kisiasa, Lipumba kajitahd ila tundu lissu karopoka 2 mpaka akajikuta anaongea uongo.

wasira amemfunika ma?m.a yako. Umeamua ulete ujinga wako wakati tumeona kitu LIVE! CCM wataaibika zaidi. Omba uzima
 
Ndio nn sasa unaandika, kwann unamfananisha na sokwe,
Weka hoja si kejeli.
Ww na ukawa na wale wapiga kelele kwenye ule mdahalo pro ukawa wote mnafanana.
 
1. Ukawa wanasema ni maoni ya wananchi. Kwa nini wanashindwa kusubiri ipelekwe kwa wananchi ishindwe?

2. Kuboresha maana yake nini? Mbona vifungu vingine vikizungumziwa hawasemi tunaacha maoni ya wananchi?

3. Mchakato unafuata sheria iliyotungwa na bunge. Sheria ikikosewa maana yake tuwe na katiba mbovu kwa sababu hiyo?
 
Kivipi kafunika wakati ccm ndiyo kikwazo je kauli hizi wewe na yeye hamzielewi?


Selina kombani ...........hakuna haja ya katiba mpya ....ccm

Fredriki welema............hakuna haja ya katiba mpya.....ccm

Chikawe......................h akuna haja ya katiba mpya.....ccm

Kinana.........................hakuna haja ya katiba mpya.....ccm


kwanini tusiaamini kwamba ccm ndiyo kikwazo?

Mwenyekiti wa CCM hiyo hiyo unayoiona kikwazo, Jakaya Kikwete si ndie aliyeleta mchakato wa katiba mpya au?
 
1. Ukawa wanasema ni maoni ya wananchi. Kwa nini wanashindwa kusubiri ipelekwe kwa wananchi ishindwe?

2. Kuboresha maana yake nini? Mbona vifungu vingine vikizungumziwa hawasemi tunaacha maoni ya wananchi?

3. Mchakato unafuata sheria iliyotungwa na bunge. Sheria ikikosewa maana yake tuwe na katiba mbovu kwa sababu hiyo?

kwa sababu ukweli ni kuwa ukawa na mawazo yao ni watu wachache. Kama ambavyo kwenye uchaguzi wanapiga kelele nyingi lakini mwisho wanaambulia kata tatu!
 
Mwanzoni watu walidanganywa kuwa mbunge mmoja wa CDM eti ni sawa na wabunge 10 wa CCM, lakini leo tumejionea wenyewe kwamba Wasira mmoja ni sawa na UKAWA 20!!
Hongera Wasira!

Kweli kabisa mkuu,lipumba na mwenzake walikuwa wanaropoka tuu
 
Back
Top Bottom