Mfalme Daud
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 166
- 109
Wadau asalam aleykum?
Mi kama mpenda demokrasia hapa Tanzania kwa sasa nikiwa Sumbawanga, naona kuna mbinu chafu anaziandaa Aeshi Khalfan Hilary i.e CCM kuweza kutetea kiti chao.
Nasema hivi kwa sababu naonana na Aeshi mara nyingi na THE WAY ALIVYO 'SOCIAL' kwa watu na jinsi vijana wanavyomkubali compared to Yamsebo Norbet wa CHADEMA. Mi nilijua wengi hawamtaki kutokana na kesi iliyomvua ubunge. DAH! Kwenye uchaguzi wa NEC alipita kwa kishindo kikubwa.
SO CHADEMA KAZI KWETU!
Mi kama mpenda demokrasia hapa Tanzania kwa sasa nikiwa Sumbawanga, naona kuna mbinu chafu anaziandaa Aeshi Khalfan Hilary i.e CCM kuweza kutetea kiti chao.
Nasema hivi kwa sababu naonana na Aeshi mara nyingi na THE WAY ALIVYO 'SOCIAL' kwa watu na jinsi vijana wanavyomkubali compared to Yamsebo Norbet wa CHADEMA. Mi nilijua wengi hawamtaki kutokana na kesi iliyomvua ubunge. DAH! Kwenye uchaguzi wa NEC alipita kwa kishindo kikubwa.
SO CHADEMA KAZI KWETU!