Dah.!mimi nipo mwaka wa pili na mwaka jana(2014/2015) niliandikiwa BUDGET EXHAUSTED. Nikajipa moyo kuwa I'm eligible however budget exhausted. Nikajikusanya na kuanza shule kwa imani ya kuomba mapema sana mwaka ujao(HUU). Hadi sasa kimya, nataka niuombe uongozi wa chuo atleast wani-awrd CERTIFICATE nirudi tu home.
swala la mikopo kwa elimu ya juu tayari limeshugulikiwa wanafunzi wote wameingiziwa mikopo tunakushukuru magufuri na serikali yako sikivu.
NIT wenye account za crdb
Mimi npo udom first year nmepata mkopo lot ya sita lakini mpaka saizi jina langu cjui litafika lini ili nisain bumu, kwa mwenye uelewa wa hli tufahamishane !!
Mkuu upo kama mimi mi nipo UDOM Mwaka Wa pili lakini kimya I wonder when I see the. slogan kuwa wote wamepata nikazan ni Mimi peke yangu
jipe moyo ndugu yangu, mungu mwema usichoke kupigania haki yako, hata mimi nimehangaika sana kuhakikisha nafanyiwa allocation, hatimaye nmepewa lot ya sita,! up to now ata cjui kama jina langu lmefka chuon ili nisain! tumwombe mungu my friend mtaoma86
Nakukumbuka sana mkuu, pia hongera kwa kufanikiwa. Naomba sana lkn kila nisikiapo neno "..WOTE WAMEPATA.." ilihali mimi bado, hakika NAUMIA SANA. Maana hata wakunikopesha wanaamini nimepata ?₩?$$$$&/$@!
Nakukumbuka sana mkuu, pia hongera kwa kufanikiwa. Naomba sana lkn kila nisikiapo neno "..WOTE WAMEPATA.." ilihali mimi bado, hakika NAUMIA SANA. Maana hata wakunikopesha wanaamini nimepata ?₩?$$$$&/$@!
swala la mikopo kwa elimu ya juu tayari limeshugulikiwa wanafunzi wote wameingiziwa mikopo tunakushukuru magufuri na serikali yako sikivu.
Kanunueni techno mpige selfie vijana, nyingine kunyweni bia na nyingine mkasuke nywele mfanane na kina Wema Sepetu....