VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Nchini Rwanda, watumiaji wa maji walioshindwa kulipa Bill zao, kuanzia sasa kuwekwa katika mfumo wa CRB. Mfumo huu, huwazuia watu kupata huduma mbali mbali, maana kila inapoingizwa namba yako ya kitambulisho, unaonekana mdaiwa sugu. Hivyo, bila kulipa, huduma nyingi za kijamii na kiserikali hupati.