The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
Yaani una shangaa kabisa kwamba mtu anasema kwamba hata kama ni mwizi tuna mtaka huyohuyo!! Yaani unajua kabisa ni fisi ila unataka umpe banda la nyama kweli!
ACT pekee ndio ina hoja muimu wengine wote wana tukanana tu
Tunampenda hivyo hivyo