Wasioamini katika Mungu

Kalamu Nzito

JF-Expert Member
Aug 13, 2015
318
662
Bila shaka umeshasikia watu wanaojiita “Atheist” yani, wasioamini katika uwepo wa Mungu. Ifahamike kwamba Atheism sio dini. Ni neno tu linalotumika kumuelezea mtu asiyeamini katika uwepo wa Mungu.

Imani yao inasukumwa na tamanio la Mwanadamu la kutaka kujitawala mwenyewe. Ikumbukwe kuwa kiu ya Mwanadamu imelala katika vitu vikuu vitatu yani, FEDHA, MALI na MAMLAKA/MADARAKA. Katika hili la atheist, nitajikita zaidi kwenye Mamlaka.

Ni asili ya Mwanadamu kukataa kuwa chini ya mamlaka yoyote. Mathalani; asilimia kubwa ya watu hawapendi utawala wa kiserikali katika nchi zao kwasababu hawapendi kujiona wapo chini ya mamlaka fulani. Hata katika jamii za kawaida, mifumo ya kiutawala ni chukizo kwa wengi kwasababu Mwanadamu hapendi kuwa chini ya sheria.

Ndivyo ilivyo kwa Atheists. Hawataki nafsi zao ziwahukumu kwa yale wanayoyafanya sirini. Kwasababu ili nafsi ikuhukumu, lazima uwe na hofu ya Mungu. Atheists wanaamini wao ndo wana-control maisha yao na kuamua vile wanavyotaka yawe. Hawaamini kwamba ipo nguvu inayofanya mambo yote yawe kama yalivyo.
 
Bila shaka umeshasikia watu wanaojiita “Atheist” yani, wasioamini katika uwepo wa Mungu. Ifahamike kwamba Atheism sio dini. Ni neno tu linalotumika kumuelezea mtu asiyeamini katika uwepo wa Mungu.

yawe kama yalivyo.
Kabisa yupo mmoja anasema Alarm ndio inayomuamsha....nikamshauri aipeleke mortuary ikaamshe walio lala.
 
Kiburi cha uzima kinawasumbua...
Sio kiburi ni kwamba tu HAWANA JICHO LA KUMUONA MUNGU NA MATENDO YAKE!
1700537739641.png


Wanahitaji elimu na waelimishaji wasiochoka!
 
Bila shaka umeshasikia watu wanaojiita “Atheist” yani, wasioamini katika uwepo wa Mungu. Ifahamike kwamba Atheism sio dini. Ni neno tu linalotumika kumuelezea mtu asiyeamini katika uwepo wa Mungu.

Imani yao inasukumwa na tamanio la Mwanadamu la kutaka kujitawala mwenyewe. Ikumbukwe kuwa kiu ya Mwanadamu imelala katika vitu vikuu vitatu yani, FEDHA, MALI na MAMLAKA/MADARAKA. Katika hili la atheist, nitajikita zaidi kwenye Mamlaka.

Ni asili ya Mwanadamu kukataa kuwa chini ya mamlaka yoyote. Mathalani; asilimia kubwa ya watu hawapendi utawala wa kiserikali katika nchi zao kwasababu hawapendi kujiona wapo chini ya mamlaka fulani. Hata katika jamii za kawaida, mifumo ya kiutawala ni chukizo kwa wengi kwasababu Mwanadamu hapendi kuwa chini ya sheria.

Ndivyo ilivyo kwa Atheists. Hawataki nafsi zao ziwahukumu kwa yale wanayoyafanya sirini. Kwasababu ili nafsi ikuhukumu, lazima uwe na hofu ya Mungu. Atheists wanaamini wao ndo wana-control maisha yao na kuamua vile wanavyotaka yawe. Hawaamini kwamba ipo nguvu inayofanya mambo yote yawe kama yalivyo.
Mungu ni kitu gani? Yuko wapi? Lete ushahidi,ndo uanze kutushika masikio
 
Bila shaka umeshasikia watu wanaojiita “Atheist” yani, wasioamini katika uwepo wa Mungu. Ifahamike kwamba Atheism sio dini. Ni neno tu linalotumika kumuelezea mtu asiyeamini katika uwepo wa Mungu.

Imani yao inasukumwa na tamanio la Mwanadamu la kutaka kujitawala mwenyewe. Ikumbukwe kuwa kiu ya Mwanadamu imelala katika vitu vikuu vitatu yani, FEDHA, MALI na MAMLAKA/MADARAKA. Katika hili la atheist, nitajikita zaidi kwenye Mamlaka.

Ni asili ya Mwanadamu kukataa kuwa chini ya mamlaka yoyote. Mathalani; asilimia kubwa ya watu hawapendi utawala wa kiserikali katika nchi zao kwasababu hawapendi kujiona wapo chini ya mamlaka fulani. Hata katika jamii za kawaida, mifumo ya kiutawala ni chukizo kwa wengi kwasababu Mwanadamu hapendi kuwa chini ya sheria.

Ndivyo ilivyo kwa Atheists. Hawataki nafsi zao ziwahukumu kwa yale wanayoyafanya sirini. Kwasababu ili nafsi ikuhukumu, lazima uwe na hofu ya Mungu. Atheists wanaamini wao ndo wana-control maisha yao na kuamua vile wanavyotaka yawe. Hawaamini kwamba ipo nguvu inayofanya mambo yote yawe kama yalivyo.
✅🙏
 
Back
Top Bottom