lugoda12 JF-Expert Member Joined Jul 28, 2018 Posts 311 Reaction score 644 Aug 31, 2025 #1 Hivi kama wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni? 😂
Hivi kama wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni? 😂
Gurugurumee JF-Expert Member Joined Apr 4, 2024 Posts 699 Reaction score 1,225 Aug 31, 2025 #2 Angetumia Mahindra
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 359,869 Reaction score 828,402 Aug 31, 2025 #3 View: https://www.facebook.com/share/v/1FAQYTtzSe/
M MAMDALI JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 339 Reaction score 642 Aug 31, 2025 #4 Mwaka huu sijasikia utafiti kuhusu kiwango ambacho CCM inaweza kushinda kwenye uchaguzi mkuu.
D Don Masanja JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 1,023 Reaction score 949 Aug 31, 2025 #5 Mshana Jr said: View: https://www.facebook.com/share/v/1FAQYTtzSe/ Click to expand... Hii ni child abuse
Mshana Jr said: View: https://www.facebook.com/share/v/1FAQYTtzSe/ Click to expand... Hii ni child abuse
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,787 Aug 31, 2025 #6 Yaani mgombea wa uraisi anawahonga wagombea wenzake magari. LISU SHTUKA WEWEEE
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 7,705 Reaction score 14,364 Aug 31, 2025 #7 Ila usiombe kuachwaaaaa jamani Attachments 20250831_160904.jpg 245 KB · Views: 13
N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 14,381 Reaction score 19,080 Aug 31, 2025 #8 MAMDALI said: Mwaka huu sijasikia utafiti kuhusu kiwango ambacho CCM inaweza kushinda kwenye uchaguzi mkuu. Click to expand... Kwa sababu TWAWEZA walifungiwa
MAMDALI said: Mwaka huu sijasikia utafiti kuhusu kiwango ambacho CCM inaweza kushinda kwenye uchaguzi mkuu. Click to expand... Kwa sababu TWAWEZA walifungiwa