Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,253
- 34,203
Niko hapa nimekutana na "jamaa" yangu aliyekua msimamizi mkuu wa kituo.
Daah!
Yani nna hasira kweli kweli! Hivi inakuaje mmekula kiapo tena kwa kushika biblia alafu unarudi kituoni mnafanya dhambi? Watendaji wa kata/vijiji inakuaje mnaamuru kura za upinzani ziharibiwe?
Nyie wasimamizi inakuaje mnashirikiana na watendaji kuingiza kura feki kwenye kituo cha kupigia kura? Ngoja nikanywe maji ili hasira zitulie nije niendelee!
Kwa kifupi kilicho fanyika ni UMAFIA!
Daah!
Yani nna hasira kweli kweli! Hivi inakuaje mmekula kiapo tena kwa kushika biblia alafu unarudi kituoni mnafanya dhambi? Watendaji wa kata/vijiji inakuaje mnaamuru kura za upinzani ziharibiwe?
Nyie wasimamizi inakuaje mnashirikiana na watendaji kuingiza kura feki kwenye kituo cha kupigia kura? Ngoja nikanywe maji ili hasira zitulie nije niendelee!
Kwa kifupi kilicho fanyika ni UMAFIA!