The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
CCM wako "so desperate" kuhakikisha kuwa mgombea Urais wao John Pombe Magufuli anatetea kiti chake.
CCM wanatambua fika kuwa, kupitia sanduku la kura (Ballot Box), Magufuli hawezi kushinda iwe mvua ama jua.
Wanataka ashinde kwa "njia zingine haramu" ambazo Mimi na wewe msomaji tunazijua na zimefungashwa kwenye maneno haya mawili tu "WIZI WA KURA" Huu ndiyo msingi wa hoja hii. Na wanadhani kuwa, mbinu hii ni ya uhakika kwao!
Ni KWELI na HAKIKA mkakati wa kulifanikisha hili upo. Ni mkakati kabambe, unaotumia FEDHA NYINGI SANA na unaendelea nchi nzima sasa kuhakikisha kuwa MEZA INAPINDULIWA ili mradi Magufuli apate ushindi wowote. Bado hawana uhakika wa asilimia, lakini kwao NI LAZIMA ASHINDE!
Kila mtu anajua na kutambua kuwa wengi wa maafisa wa serikali kama vile maDC, maRC, DEDs, WEOs ndiyo viongozi na makada wa kufa wa CCM.
DEDs and WEOs ndiyo wanaofanya kazi ya Tume ya uchaguzi (NEC) kama wasimamizi katika ngazi ya jimbo (Urais & Ubunge) na kata (udiwani).
NINI KINAFANYIKA KWA SASA?
Kama nilivyoanza kuandika hapo juu, upo mkakati kabambe unaendelea sasa kuihakikishia CCM ushindi kwa kuwatumia hawa maofisa wa serikali ambao wakati huohuo wengi wao wakiwa ni makada watiifu wa CCM.
Sambamba nao, wanapata "back up" ya nguvu na ya kutosha kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Idara ya usalama wa taifa ( TISS) na Polisi kuandaa mikakati ya wizi wa kura kumshindisha Magufuli, wabunge na madiwani wake.
Wizi utafanyikia katika ngazi ya VITUO VYA KUPIGIA KURA. Zoezi linaloendelea nchi nzima kwa sasa ni kufanya "recruitment" ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wao katika ngazi ya vituo vya kupigia kura.
Nina hakika kila mtu kwenye magrupu yenu ya FB, Instagram, WhatsApp nk mmeona matangazi ya kazi ya usimamizi wa uchaguzi toka ktk majimbo yote yanatembea huko.
Asiwadanganye mtu, matangazo hayo ni "bosheni" tu, ila ukweli ni kuwa tayari walishawateua wasimamizi tayari na kila DED ama CCD anao mezani kwake. Kama wewe hujaitwa "privately" aidha kwa kufuatwa ama kupigiwa simu, unajisumbua tu kuomba hizo kazi.
Kwa 95%, wanawatumia wafanyakazi wa umma i.e teachers, nurses, watendaji wa vijiji, madaktari, mabwana na mabibi shamba nk.
Kilichofanyika ni hiki:
1. Cha kwanza, huyu MAGUFULI POMBE "anafikiri" kuwa atashinda tu uchaguzi huu na ataendelea kuwa Rais.
2. Kwa kudhani kuwa ataendelea kuwa Rais tu (2020 - 2025), ametoa "ULTIMATUM" kuwa DED yeyote ambaye jimbo lake atashinda mpinzani, ATAFUKUZWA KAZI!
3. DEDs nao wanaweka wafanyakazi walio chini yao kuwa wasimamizi wa uchaguzi ktk vituo vyote. Na wao wametoa "ULTIMATUM" kwa maWEO kuwa, yeyote ambaye kata yake atashinda mpinzani ATAFUKUZWA KAZI!
4. WEOs wote wamekasimiwa madaraka ya kuteua WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA kutoka miongoni mwa walimu, manesi nk walioko katika kata zao. Nao wamewapa ULTIMUTUM watumishi hawa kuwa, kwenye kituo chake atakachosimamia ikitokea mgombea wa upinzani ameongoza kura, msimamizi wa kituo husika, ATAFUKUZWA KAZI!
MAANA YAKE NINI?
å Hawa watumishi ndiyo wataipa ushindi tena CCM mwaka huu 2020 kwa "KUPINDUA MEZA".
å Kitisho cha KUFUKUZWA KAZI kimewatisha.
Mimi nimetoa taarifa. CHADEMA na ACT WAZALENDO kazi iko hapo. Kama mtaweza kudhibiti hili, CCM TUTAIZIKA CCM MWAKA HUU 2020!
MIMI NIKO KWENYE KAMATI HII. WANADHANI MIMI NI MWENZAO.
Nimetimiza UZALENDO WANGU.
CCM wanatambua fika kuwa, kupitia sanduku la kura (Ballot Box), Magufuli hawezi kushinda iwe mvua ama jua.
Wanataka ashinde kwa "njia zingine haramu" ambazo Mimi na wewe msomaji tunazijua na zimefungashwa kwenye maneno haya mawili tu "WIZI WA KURA" Huu ndiyo msingi wa hoja hii. Na wanadhani kuwa, mbinu hii ni ya uhakika kwao!
Ni KWELI na HAKIKA mkakati wa kulifanikisha hili upo. Ni mkakati kabambe, unaotumia FEDHA NYINGI SANA na unaendelea nchi nzima sasa kuhakikisha kuwa MEZA INAPINDULIWA ili mradi Magufuli apate ushindi wowote. Bado hawana uhakika wa asilimia, lakini kwao NI LAZIMA ASHINDE!
Kila mtu anajua na kutambua kuwa wengi wa maafisa wa serikali kama vile maDC, maRC, DEDs, WEOs ndiyo viongozi na makada wa kufa wa CCM.
DEDs and WEOs ndiyo wanaofanya kazi ya Tume ya uchaguzi (NEC) kama wasimamizi katika ngazi ya jimbo (Urais & Ubunge) na kata (udiwani).
NINI KINAFANYIKA KWA SASA?
Kama nilivyoanza kuandika hapo juu, upo mkakati kabambe unaendelea sasa kuihakikishia CCM ushindi kwa kuwatumia hawa maofisa wa serikali ambao wakati huohuo wengi wao wakiwa ni makada watiifu wa CCM.
Sambamba nao, wanapata "back up" ya nguvu na ya kutosha kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Idara ya usalama wa taifa ( TISS) na Polisi kuandaa mikakati ya wizi wa kura kumshindisha Magufuli, wabunge na madiwani wake.
Wizi utafanyikia katika ngazi ya VITUO VYA KUPIGIA KURA. Zoezi linaloendelea nchi nzima kwa sasa ni kufanya "recruitment" ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wao katika ngazi ya vituo vya kupigia kura.
Nina hakika kila mtu kwenye magrupu yenu ya FB, Instagram, WhatsApp nk mmeona matangazi ya kazi ya usimamizi wa uchaguzi toka ktk majimbo yote yanatembea huko.
Asiwadanganye mtu, matangazo hayo ni "bosheni" tu, ila ukweli ni kuwa tayari walishawateua wasimamizi tayari na kila DED ama CCD anao mezani kwake. Kama wewe hujaitwa "privately" aidha kwa kufuatwa ama kupigiwa simu, unajisumbua tu kuomba hizo kazi.
Kwa 95%, wanawatumia wafanyakazi wa umma i.e teachers, nurses, watendaji wa vijiji, madaktari, mabwana na mabibi shamba nk.
Kilichofanyika ni hiki:
1. Cha kwanza, huyu MAGUFULI POMBE "anafikiri" kuwa atashinda tu uchaguzi huu na ataendelea kuwa Rais.
2. Kwa kudhani kuwa ataendelea kuwa Rais tu (2020 - 2025), ametoa "ULTIMATUM" kuwa DED yeyote ambaye jimbo lake atashinda mpinzani, ATAFUKUZWA KAZI!
3. DEDs nao wanaweka wafanyakazi walio chini yao kuwa wasimamizi wa uchaguzi ktk vituo vyote. Na wao wametoa "ULTIMATUM" kwa maWEO kuwa, yeyote ambaye kata yake atashinda mpinzani ATAFUKUZWA KAZI!
4. WEOs wote wamekasimiwa madaraka ya kuteua WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA kutoka miongoni mwa walimu, manesi nk walioko katika kata zao. Nao wamewapa ULTIMUTUM watumishi hawa kuwa, kwenye kituo chake atakachosimamia ikitokea mgombea wa upinzani ameongoza kura, msimamizi wa kituo husika, ATAFUKUZWA KAZI!
MAANA YAKE NINI?
å Hawa watumishi ndiyo wataipa ushindi tena CCM mwaka huu 2020 kwa "KUPINDUA MEZA".
å Kitisho cha KUFUKUZWA KAZI kimewatisha.
Mimi nimetoa taarifa. CHADEMA na ACT WAZALENDO kazi iko hapo. Kama mtaweza kudhibiti hili, CCM TUTAIZIKA CCM MWAKA HUU 2020!
MIMI NIKO KWENYE KAMATI HII. WANADHANI MIMI NI MWENZAO.
Nimetimiza UZALENDO WANGU.