Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 56,746 Reaction score 46,268 Dec 3, 2025 Thread starter #821 Huyu ndiyo rais tuliomsikia jana. Kumbe kina Lissu, Lema na wenzake walikuwa wanaokota kwa Samiaš
DA HUSTLA JF-Expert Member Joined Mar 5, 2012 Posts 3,930 Reaction score 4,280 Dec 3, 2025 #822 h120 said: hawa ma vaisi prezidenti mi sioni hata umuhimu wao, ama kuna laziada wnafanya? Click to expand... Umeona sasa umuhimu wao?
h120 said: hawa ma vaisi prezidenti mi sioni hata umuhimu wao, ama kuna laziada wnafanya? Click to expand... Umeona sasa umuhimu wao?
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,911 Reaction score 82,213 Dec 3, 2025 #823 Hamna kitu hapo
Ritz JF-Expert Member Joined Jan 1, 2011 Posts 56,746 Reaction score 46,268 Dec 3, 2025 Thread starter #824 Vincenzo Jr said: Hamna kitu hapo Click to expand... Hivi hawa watu wanamchukuliaje Rais? Walitegemea aje kuwabembeleza au? Yaani mtake kupindua serikali halafu mbembelezwe? Kwamba nyie nani? Au mna umuhimu gani? HAWANAGA AKILI HAWA š®
Vincenzo Jr said: Hamna kitu hapo Click to expand... Hivi hawa watu wanamchukuliaje Rais? Walitegemea aje kuwabembeleza au? Yaani mtake kupindua serikali halafu mbembelezwe? Kwamba nyie nani? Au mna umuhimu gani? HAWANAGA AKILI HAWA š®