Wasifu wa Peter Lijualikali

Wasifu wa Peter Lijualikali

Tangu atoke marehemu Bob Makani zaidi ya miaka 20 yupo tu madarakani anapiga posho na ruzuku dj zero.
Tangu 1961 CCM imeendelea kuwanyonya raia wake wasiokuwa na hatia ukiwemo wewe mtetea wezi hapa jukwaani
 
Daaah! Yani kamenizidi darasa moja tu.
Education Background
YearLevelSchoolAwards
1994 - 2000Primary SchoolKurasini Primary SchoolCPEE
2001 - 2005Secondary SchoolAirwing Secondary SchoolCSEE
2006 - 2008Secondary SchoolTegeta High SchoolACSEE
2008 - 2011Bachelor DegreeTumaini UniversityDegree
 
Tangu 1961 CCM imeendelea kuwanyonya raia wake wasiokuwa na hatia ukiwemo wewe mtetea wezi hapa jukwaani
Unajua kwanza ccm ilizaliwa lini? Au dj zero ndio amekuambia imezaliwa 1961?
 
Unajua kwanza ccm ilizaliwa lini? Au dj zero ndio amekuambia imezaliwa 1961?
CCM na wewe mtetea wezi mumewadhulumu sana raia haki zao tangu nchi inapata uhuru, Mungu atawapawa adhabu mnayostahili
 
Siasa majitaka zimesha anza!

Akiwa CHADEMA CV haina umuhimu akiondoka CV inakuwa muhimu sana!
 
Chadema wengi elimu yetu ni ya ‘hapa na pale’, sisi ni masela wanaharakati.
 
Hiyo ni argument ya kishamba na kitoto. Thomas Sankara hakuwa na degree lakini allifanyia makubwa nchi yake kuliko Mugabe aliyekua na degree tano alivyoifanyia Zimbabwe. Closer home. Karume hakuwa na degree lakini aliifanyia Zanzibar mengi kuliko marais wote waliomfuata. Niendelee bi mkubwa?
Mark Zuckerberg na bill gate hawana degree lakin angalia legacy waliyoiacha
 
Ukimuhangaikia mtu ndo umtumie utakavyo? Binadamu wa ajabu sana mwachen kijana afanye atakavyo mradi awe anasema kweli
 
CHADEMA yenyewe ndo akina MSIGWA ?? 😂😂😂😂 Kumbe hata Nyalandu alisingiziwa?? 😂😂😂
CCM nayo ndo akina Chenge 😂😂😂
Siasa Kituko.
 
Mwenye CV ya Lijualikali naomba aiweke hapa. Nahitaji kumjua huyu kijana. Vijana wengi wanakosa fadhira. Sielewi shida ni nini? Elimu au?
He has been a strong servant... Kilombero sio nyepesi

Dogo sacrificed well
 
Hawa ndezi watalia milele na milele Mama hana shobo bao
Lijualikali,
Na kile kikaka kilichocompete na Sio sumari
 
Back
Top Bottom