Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,927
- 6,417
Ni mkwe wa SABUFAMwenye CV ya Lijuakali naomba aiweke hapa. Nahitaji kumjua huyu kijana. Vijana wengi wanakosa fadhila. Sielewi shida ni nini? Elimu au?
Yeah tuko Beach Ila hatukimbiwi na wabunge mpaka Sasa wabunge 20 wamekimbia udikteta wa mbowe wamebaki wabunge 15 mpaka December atabaki mbowe na hawara yake mukya na wale lesbians wawili
Anamzungumzia dj zero,wa elimu ya hapa na pale.Unazungumziwa Yule anaeshindwa kutunga sentensi ya kiingereza na amejificha chato?
Uyu chalii anapenda ubishoo...na raba zake za Adidas...
Mwenye CV ya Lijuakali naomba aiweke hapa. Nahitaji kumjua huyu kijana. Vijana wengi wanakosa fadhila. Sielewi shida ni nini? Elimu au?
Ukisikiliza kiingereza anachoongea jamaa wa chato unaweza kuzimia. Ni kibovu sanaAnamzungumzia dj zero,wa elimu ya hapa na pale.
Huyu ndio hulka yake ilivyo pia elimu yake ipo chini sana.Mwenye CV ya Lijuakali naomba aiweke hapa. Nahitaji kumjua huyu kijana. Vijana wengi wanakosa fadhila. Sielewi shida ni nini? Elimu au?
Ukiona matokeo ya dj zero lazima uzimieUkisikiliza kiingereza anachoongea jamaa wa chato unaweza kuzimia. Ni kibovu sana
Hiyo ni argument ya kishamba na kitoto. Thomas Sankara hakuwa na degree lakini allifanyia makubwa nchi yake kuliko Mugabe aliyekua na degree tano alivyoifanyia Zimbabwe. Closer home. Karume hakuwa na degree lakini aliifanyia Zanzibar mengi kuliko marais wote waliomfuata. Niendelee bi mkubwa?Kwa taarifa yako dogo ana elimu kubwa kuzidi ya mwenyekiti wa Chadomo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umegeuka kuwa mtetea wezi wa nchiUkiona matokeo ya dj zero lazima uzimie
Na wewe umekuwa mtetezi wa fisadi wa posho za wabunge na ruzuku?Umegeuka kuwa mtetea wezi wa nchi
Tangu uhuru, CCM ipo madarakani na kuwafanya wananchi kuwa masikiniNa wewe umekuwa mtetezi wa fisadi wa posho za wabunge na ruzuku?