Wasifu wa Mhe Sophia Simba kielimu...

Kwanza ni mpiganaji.Ni role model wa wanawake
Alianza kuwa secretary,baadaye alijiendeleza kama ifuatavyo:
Certificate in law-Udsm
LLB Hons-Udsm fuculty of law.
Advanced diploma in women in law
Master of science in community development-Hemphshire college of USA.
Ukitaka ukweli angalia kwenye cv za wabunge.Taarifa hizi zipo kwenye bunge website.
lecturers wake ni pamoja na prof.shivji,prof Fimbo,Prof.Shaidi.
Hivi mnajua hata prof.Anna Tibaijuka alianza kazi kama secretary badae akajiendeleza.

Kwenye RED hicho kingereza vipi hapo?

Kwenye BLUE nia yako nini hasa kutuletea hiyo hoja? Umetumwa na Magamba nini?
 
Huyu mwanamke haonekani kabisa kama ni msomi. CV yake ni foji tu: Nakumbuka kusoma wasifu wake sio siku nyingi sana hakuna mahali inaonyeshwa ana shahada, licha ya uzamili. Ni msakaji madaraka kwa rushwa maarufu na mtetezi wa mafisadi ili wamfadhili. Ni mropokaji afadhali akina mama wa mtaani wanajiheshimu. Ona jinsi alivyotoka jukwaani kuja kumtukana shyrose banji kwa kumuuliza swali gumu kwenye kampeni ya uenyekiti UWT.!!. Ingefaa CCM watupunguzie vituko kwa kumuweka pembeni.
 
Mi kwa kweli siielewi hii CV, kama ni imekosewa au imechakachuliwa ama la. Nitatoa mifano michache ya mapungufu ya wazi ambayo hayapaswi kuwepo kwenye CV ya anayejiita msomi. 1. Primary education - kasoma miaka 3 (1958-1961). 2. Certifacate in law udsm-kasoma miaka 5 (1982-1987)sijawahi kuona chuo chenye registration period ya miaka 5 kwa a mere certificate. 3. O-level imepigwa kwa miaka 2 (1966-1968).
CV ya kiongozi kama huyu hapaswi kuwa na maswali ya wazi kiasi hiki.
ndo maana mi nimegonga boonge la like kwenye cooked cv!!!
 
kampeni za uchaguzi wa uwt!! Ngoja na kilango naye aje aseme alianzia ualimu wa kisutu, akafanya kazi atc, akaachwa na mwanamume huku akilea watoto mwenyewe kwa kuuza nyanya gengeni, nk. (niliyasikia haya kwenye kipindi cha tbc1 alipokuwa akihojiwa na suzane mungy)



nayo pia ni cv ati,,,,!!
 
=Lokissa;kama ni hivo mbona utendaji wake hauendani na elimu yake?
ndo hivyo mkuu hiyo ni divai mpya kwenye kiriba chakavu.
 
SalutationHonourableMember picture
1234.jpg
First Name: Sophia
Middle Name:Mattayo
Last Name:Simba
Member Type:Special Seat
Constituent:No Constituency
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 3448, Dar es Salaam
Office Phone: +255 777 787 710/+255 784 282 677
Ext.:
Office Fax: +255 22 2112538
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
University of Dar es SalaamLLB (Hons.)19871994GRADUATE
Ilonga Middle SchoolPrimary Education19611964PRIMARY
Kibosho Secondary SchoolA-Level Education19681969SECONDARY
MekanForbidant College-SwedenInformation Studies19821982CERTIFICATE
University of Dar es SalaamCertificate in Law19821987CERTIFICATE
University of ZimbambwePostgraduate (Women's Law)19961997POSTGRADUATE
New Hemphshire UniversityMSc.(Community Economic Development)20052007MASTERS DEGREE
NBC Secretarial CollegePitman's secretarial CertificateCERTIFICATE
Kilakala Primary SchoolPrimary Education19581961PRIMARY
Forest Hill Secondary SchoolO-Level Education19661968SECONDARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
Ministry of Community Developmentr, Gender and ChildrenMinister2010Todate
The Parliament of TanzaniaMember - Special Seat20102015
Ministry of Community Development, Gender & ChildrenMinister20062/8/2008
The Parliament of TanzaniaMember - Appointed by President20052010
President's Office - Good GovernanceMinister2/13/20082010
The Parliament of TanzaniaMember - Special Seat19952005
Dar es Salaam City CouncilCouncilor19941996
Metal Engineering Industries Development Organization (MEIDA)Legal & Administrative Officer19921997
Metal Engineering Industries Development Organization (MEIDA)Administrative Officer19831992
TANTRUST Ltd.Administrative Assistant1979
National Development Coorporation (NDC)Administrative Assistant19711979
Metal Engineering Industries Development Organization (MEIDA)Ag. Executive Director
Arusha International Conference CentreDirector
Air Tanzania CorporationDirector
Empowerment Movement Club (NGO)Chairperson
Parliamentary Standing Committing on Community DevelopmentChairperson
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember - National Executive Committee(NEC)2007Todate
Chama Cha Mapinduzi, CCMUWT-Chairman(Upanga West branch))1994
Chama Cha Mapinduzi - CCMCity Councilor19931995
Union of Women Tanzania - UWTSecretary (UWT-NDC branch)1973
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember of the board(NDC Branch-CCM)1973
PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level

Hivi watu wenye Certificate of Law wanaweza kujiunga kusoma level ya degree? Maana huyu kamaliza certificate 1987 na akaanza degree 1987. Ahsante kwa taarifa
 
Labda huko zamani kabla wanasheria kuwa wengi, hata hivyo tafadhalini mwenye ufahamu atuelimishe kuhusu certificate kwenda chuo kikuu kwa Mama Sofia Simba
 
Back
Top Bottom