Wasifu: Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally

Wanaouliza Bashru kuanza shule akiwa Na umri wa miaka 12 jibu Ni kwamba, zamani kuanza la kwanza lazima mkono wako ushike sikio upande wa pili. Kama alikuwa mfupi hata miaka 14 inawezekana kuwahi kuanza kusoma sio kuwahi kupata kazi
 
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
umesahau kale kakipimo Cha kushika sikio????[emoji23][emoji23][emoji23].watu walisotea haka kazoezi.
 
Mbona mwamba anatakribani miaka 20 akiwa mwenyekiti wenu wa chama, kwani huko kwenyechama chenu wote mnaajira??
Mimi si mwanachama wa chama chochote kile cha kisiasa. Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo, Mpenda mabadiliko, na ADUI Namba 1 wa CCM
 
Kwahiyo? Futa utopolo huu. Au ni shemeji yako! Anamshikisha dadiyo?!?
We inakuuma nini badala utafute pesa huku ukisubiri swahiba wako akipata urais ndyo nawewe utapata uteuzi
 
Mimi si mwanachama wa chama chochote kile cha kisiasa. Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo, Mpenda mabadiliko, na ADUI Namba 1 wa CCM
Kwahiyo leo umemukana mwamba na yule jamaa yenu aliyegaragazwa kwenye sanduku la kupigia kula, kisha akatengeneza kiki ya kwenda ugaibuni kukwepa aibu ya kugaragazwa??
 
Kwahiyo leo umemukana mwamba na yule jamaa yenu aliyegaragazwa kwenye sanduku la kupigia kula, kisha akatengeneza kiki ya kwenda ugaibuni kukwepa aibu ya kugaragazwa??
Kumuunga mkono Tundu Lissu anapo inyoosha ccm na mwenyekiti wake, kuunga mkono mabadiliko yoyote yale ya kuiondoa ccm madarakani hakunifanyi mimi kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa.

Yaani hata atokee kichaa kama Adolf Hitler, akiahidi tu kuiondoa ccm madarakani! Hakika nitamuunga mkono. Ccm ni ukoo wa panya. Ikiendelea kuitawala nchi yetu, umaskini wa kipato utaendelea kuwaumiza wananchi wengi, nikiwemo mimi! Na hilo halikubaliki.
 
Miaka ile ili mtoto aweze kuingia darasa la Kwanza sharti mkono uguse sikio kupitia juu ya kichwa,ukiwa mfupi ndo Bas tena waweza Anza at 15,Miaka yenu hii hata miaka 3 mnaanza shule ndo maana kichwani ni shida tupu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nani alikuja na idea ya kindezi hivo kushika sikio ndio uanze shule?
 
Siku hizi Watanzania tulio wengi hatuwataki Viongozi wenye experience ya kimatifa, maana wengi wao wanaishia kua vibaraka wa Mabeberu na kuuza Rasilimali zetu kwa bei Chee kupitia Mikataba yao mibovu!!
Viongozi wa hvo walimsaidia mno Jakaya ndio maana enzi zake hela nje nje, ajira aliajiri na uwekezaji ulikuwa mkubwa, huwezi linganisha watu wenye international exposure na mtu wa kijijini kwenye maamuzi aisee. Exposure na experience ni kitu muhimu kwenye kazi
 

Sawia kabisa. Mimi namuangalia sana Uhuru Kenyatta,exposure imemsaidia sana kuiendesha ile nchi. Japo ana mapungufu,ila uchumi wa ile nchi umechangiwa sana na maisha aliyoishi kabla ya kuwa president
 
Jamaa zangu washapiga mahesabu fulani tayari....kila kitu kinachotokea hakitokei kwa bahati mbaya...
 
Sawia kabisa. Mimi namuangalia sana Uhuru Kenyatta,exposure imemsaidia sana kuiendesha ile nchi. Japo ana mapungufu,ila uchumi wa ile nchi umechangiwa sana na maisha aliyoishi kabla ya kuwa president
Sasa sisi karne ya 21 viongozi wanatumia Sera za ujamaa zilizofeli enzi za Nyerere, kila kitu serikali inafanya na kuua Sector binafsi inayoajiri maelfu ya watanzania. Sasa kila ujenzi serikali na kila kitu kime centralized
 
Kwa hoja hii akili zako zinakuaminisha kuwa msimamo wako haujulukani
Mimi si mwanachama wa chama chochote kile cha kisiasa. Mimi ni Mtanzania tu Mzalendo, Mpenda mabadiliko, na ADUI Namba 1 wa CCM
 
Huyu anatoka katika familia ya wakimbizi toka nchi jirani kama jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…