Wasifu: Huyu ndiye Dkt. Bashiru Ally

Yaani! Miaka yote hiyo mke mmoja tu. Huyu jamaa ana uzembe wa aina fulani eti. Watoto wenyewe ameshindwa kuwatengeneza! Yaani ubingwa wake ni mdomoni tu!
Mwambie awe na tabia nyingine, sisi ni waafrika, askali wa Magufuli.
 
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Ni kawaida, labda alikuwa na degedege. Pia alikaa miaka kadhaa kabla ya kujiunga na chuo kikuu. Lakini jiulize kwa nini aemwahi sana kufika hapo alipo leo hii! Just life roadway.
 
Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
Hao ndiyo zile design za enzi zile waliitwa repeaters. Wanarudia mara kibao mpaka wanafaulu. Inawezekana hata hilo Jina Siyo Jina lake halisi kama Jamaa yetu Mwigulu.
 
Tangazo tangazo kama wewe unatoka kanda ya ziwa kama
Bashiru, siro, magu, Biteko, mabeyo n.k
Karibu PM kunauteuzi niwafikirie
 
Miaka ile ili mtoto aweze kuingia darasa la Kwanza sharti mkono uguse sikio kupitia juu ya kichwa,ukiwa mfupi ndo Bas tena waweza Anza at 15,Miaka yenu hii hata miaka 3 mnaanza shule ndo maana kichwani ni shida tupu

Kwanini alichelewa sana kuanza darasa la kwanza? Miaka 12! At this age mimi ndiyo nilikuwa namaliza darasa la 7.
 
Kwa hiyo ameteuliwa pia kuwa Balozi wa nini? /Nchi gani? Mnazidi kupeana tu ulaji huku wahitimu lukuki wakiwa wanahangaika tu mtaani.
Asiyejua maana, haambiwi maana.
 
Unakuwaje kiongozi wa makatibu wakuu na hujawahi kabisa kuwa katibu mkuu?? Asije kuharibu sifa yake!
 
Ana bahati Sana cv yake ya kawaida Sana, hana hata experience ya kimataifa
Siku hizi Watanzania tulio wengi hatuwataki Viongozi wenye experience ya kimatifa, maana wengi wao wanaishia kua vibaraka wa Mabeberu na kuuza Rasilimali zetu kwa bei Chee kupitia Mikataba yao mibovu!!
 
Historia feki kabisa..
Mbona umaskip kua alikua mwalimu wa shule ya msingi?
Mbona umeskip kua ukoo wake wametokea huko kwenye vita...AWRNDA
Kabla ya kuwa Mkaguzi wa Mali za Chama na akazunguka Nchi nzima na kwenye matawi hivi hakutokea upinzani
watu wanajua kweli kutengeneza CV na kuziminya
 
Acha uwongo we bibie! Inamaana ulianza daras la kwanza ukiwa na miaka 3???
No itakua alianza na mitano, ndiyo maana akasema yeye miaka 12 ndiyo alikua anamaliza la Saba!! 5+7=12!!
 
Kwa hiyo ameteuliwa pia kuwa Balozi wa nini? /Nchi gani? Mnazidi kupeana tu ulaji huku wahitimu lukuki wakiwa wanahangaika tu mtaani.
Uchaguzi 2025 soon.. Jipangeni mshinde mfanye mnalo liona lina tija! Sasa tulieni na msitingishe kwani mkitingisha sindano itakatika tena..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…