Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

Habari za muda huu wadau wanajamvi wenzagu, samahani nnina shida sana na cv ya mheshimiwa Joyce Ndalichako, vipi je yeye alisoma masomo ya sayansi au maana kuna jamaa tunabishana sana.
Tatizo siyo ndalichako...tatizo ni Jamaa Pumba Mingi....anapeleka pesa kwao subilini amalize kujenga airport kwao na kununua ndege mpya tena kubwa
 
Daaa hadi hapo hkn mwn cv yake....nenda pale ofcn kwake uonane na msadiz wake umuombe cv ataksaidia namna ya kuipata
 
Mi siko kuchangia cv ya huyo Ndalichako! Hanihusu simhusu apite kushoto.
Niko kuchangia comment moja ya waha &
God Forbid!
Sitaki muha hata wa awe na hela kuliko jayz na beyonce!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
CV yake yanin sasa ...' Si ungeuliza tu ilo swali lako
 
hizo sura mbili zote kwenye dp niza chigoma how we look like we are innocent in nature the kind one
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…