Kumbukumbuyatorati
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 152
- 220
Wasaalam wakuu
Nimeawaza sana baada ya kuona taarifa za mkuu wikipedia zisizoeleweka kuhusu raisi wetu mpendwa.Wameonyesha amesoma advance mkwawa secondary je kuna ukweli?kama ni kweli mbona hakwenda kusoma degree ya ualimu akaenda kusoma diploma hapo mkwawa au alifeli hiyo advance.
Na miaka yake ya kumaliza kidato cha nne mbona haijatimia.
Kama wikipedia ni waongo naombeni source itayonipa taarifa za uhakika.
John Joseph Magufuli started his education at The Chato Primary School from 1967 to 1974 and went on to The Katoke Seminary in Biharamulo for his secondary education from 1975 to 1977 before relocating to Lake Secondary School in 1977 and completing in 1978. He joined Mkwawa High School for his A levels in 1979 and completed 1981. That same year he joined Mkwawa College of Education for a Diploma in Education Science, majoring in Chemistry, Mathematics and Education.[2]
Nimeawaza sana baada ya kuona taarifa za mkuu wikipedia zisizoeleweka kuhusu raisi wetu mpendwa.Wameonyesha amesoma advance mkwawa secondary je kuna ukweli?kama ni kweli mbona hakwenda kusoma degree ya ualimu akaenda kusoma diploma hapo mkwawa au alifeli hiyo advance.
Na miaka yake ya kumaliza kidato cha nne mbona haijatimia.
Kama wikipedia ni waongo naombeni source itayonipa taarifa za uhakika.
John Joseph Magufuli started his education at The Chato Primary School from 1967 to 1974 and went on to The Katoke Seminary in Biharamulo for his secondary education from 1975 to 1977 before relocating to Lake Secondary School in 1977 and completing in 1978. He joined Mkwawa High School for his A levels in 1979 and completed 1981. That same year he joined Mkwawa College of Education for a Diploma in Education Science, majoring in Chemistry, Mathematics and Education.[2]