Wasifu(CV) wa Ndg. Hudson Kamoga

Wasifu(CV) wa Ndg. Hudson Kamoga

Hadson S. Kamoga ni Mkurugenzi walayadhuru gani?

Mkuu moja ya sababu iliyotufanya tufurahie kwa ' kutukuka ' ujio wa hii Mitandao pia ni katika kuturahishia kupata taarifa za haraka na zilizo sahihi kwa wakati ' muafaka ' kabisa sasa nashangaa muda wote unatiririka tu kupost kutaka upewe maelezo ya Hudson Kamoga wakati nina amini unge google tu chap chap ungepata kila kitu unachokihitaji. Usione unauliza halafu Watu wamekunyamazia ukadhani labda wapo busy ila jua ya kwamba ' unawachosha ' kama siyo ' kuwaboa ' pia kwa namna moja au nyingine. Tujifunze kuwa na matumizi sahihi ya hii Mitandao ili waliyotuletea wasije ' wakajuta ' kwanini wameieleta na pengine hata kukusudia kuiondoa kisha tubaki tu ' kukodoleana kodo '. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa haya maelezo yangu ila huwa sipendi kulea ' ugonjwa ' sugu wa ' upuuzi ' ambao nauona.
 
mi

nilisha wahi rushwa darasa inawezekana

Ndio utoke la tano! Mpka fomu one? Inamaana mtihani wa kumaliza elimu ya msingi hkufanya?? Je ni majibu gani yaliyompeleka sekondari???! Anyqy kurushwa drs kupo ila ni kwa madarasa ya chini!!!! Sio uruke mtihani wa la NNE, au la saba theni unatuamnisha ameenza fomu one??? Kwa majibu gani!!!!! Uendelee kuisoma
 
Advancing through metamorphosis is a good indicator of.....
 
Ndio utoke la tano! Mpka fomu one? Inamaana mtihani wa kumaliza elimu ya msingi hkufanya?? Je ni majibu gani yaliyompeleka sekondari???! Anyqy kurushwa drs kupo ila ni kwa madarasa ya chini!!!! Sio uruke mtihani wa la NNE, au la saba theni unatuamnisha ameenza fomu one??? Kwa majibu gani!!!!! Uendelee kuisoma
mi niliruka la pili ila nikuambie mkuu, shule za private zenye primary na sec wengi tu waliruka la saba sijuu siku izi. Vipi iyo user name yako wakati unatunga uliwaza nini mkuu
 
Ningeshangaa Kama asingepewa cheo wakati wa kampeni huyu jamaa alikuwa mstari wa mbele kumponda Lowosa kuwa mgonjwa amelipwa fadhila ila hana lolote la MSINGI zaidi ya Kubebwa na kulipana fadhira ktk chama cha mafisadi.
Hizo zilikuwa campaign, ulitaka amshabikie nani? Suppose ungepewa wewe hicho cheo, UNGESEMA HAYO MANENO HAPA!!!?
 
Hivi huyu jina lipo kwenye mkurungezi au kapigwa chini?Sasa sijui atarudi Clouds media?In case katemwa .
 
Back
Top Bottom