Wasifu (CV) wa January Makamba

Hivi unaanzaje kumfagilia mtu ambaye ktk uongozi ht miaka 5 hajafika..kwa kifupi na muona wakawaida..sijui ni lipi kafanya la ajabu mpk ashawishi hao vijana hivyo..yale yale kumfagilia kikwete enzi hizo kumbe kazi hawezi

wapo vijana wengi wanaotamani Urais ila katika hawa bora hata Kigwangala aliyesema hatowatendea haki watanzania kuutaka Urais sasa wakati ndo kwanza ameingia kwenye uongozi wa kitaifa sasa hivi na hata hawajaona utendaji wake. amesema yeye anasubiri kwanza akusanye uzoefu mpaka 2025 ndipo atake kuwa rais. walau huyu ana-make sense! January hana hata cv ya uongozi zaidi ya kuwa mbeba begi la rais maana hata hizo hotuba hakuwahi kuandika walikuwepo waandishi
 
Huwa mnaona mnaona nini kwa huyu mtu? Sijawahi kuona kitu na sitakaa nione kitu kwake.

Kuna wengine ni fungu la kupoteza tu, sema channel zinawaokoa.
 
Nilijua wezi na wajinga ndo walivyo, eti urais January jamani??? mi wale wanavyuo niliwaita Malaya Fulani tu, hata kama JK amefanya kila mTZ aone anaweza kuwa rais, hata na wewe January??? shame on you JM
 
Kamanda Ben Saanane sitarajii kama January atatia mguu hapa kuweka mambo hadharani lakini najua wapambe wake au ''kivuli'' chake kitakuja hapa kujaribu kumsafisha bila kuweka ''substantial evidence''!

Na kwa staili hii ya wezi na vilaza wa elimu kuzidi kupigiwa debe la kuwa raisi wa nchi wakati Bumbuli tu imemshinda hii ni hatari sana kwa ustawi wa jamii. Ameanzisha Bumbuli Development Corporation ambayo hadi sasa haijawasaidia chochote wananchi zaidi ya ofisi yake pale waterfront anayoitumia kufanya maonyesho ya kuwahadaa wasambaa wenzake!
 
tanzania hata boga lina weza kuwa rais...ilimradi liwekewe fedha nyingi.
 

achilia mbali kwamba alifeli bali pia hakuna chochote alichofanya cha kuwafanya wengine wampigie debe , kumpendekeza january ni kama kuitukana nchi hii .
 
Nahisi kwa TZ, tunataka kufikia hatua ambayo mtu akiwa na blackbery na kuweza kuitumia, akawa na fesibuku account na twira account, basi anaonekana mtaalamu wa IT wa kimataifa. Anakabidhiwa nchi, khah uongozi sio kupost matukio twira na fesibuku.
 

thats very true.....ni ukweli usio pingika
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Ben Saanane sitarajii kama January atatia mguu hapa kuweka mambo hadharani lakini najua wapambe wake au ''kivuli'' chake kitakuja hapa kujaribu kumsafisha bila kuweka ''substantial evidence''!
Na kwa staili hii ya wezi na vilaza wa elimu kuzidi kupigiwa debe la kuwa raisi wa nchi wakati Bumbuli tu imemshinda hii ni hatari sana kwa ustawi wa jamii. Ameanzisha Bumbuli Development Corporation ambayo hadi sasa haijawasaidia chochote wananchi zaidi ya ofisi yake pale waterfront anayoitumia kufanya maonyesho ya kuwahadaa wasambaa wenzake!
 
Last edited by a moderator:
Kwa sasa ninaona uwezo wa makamba kama wa zitto. Haimaanishi kuwa naungana na hao uvccm bali yawezekana kweli alifeli lakini dakika za mwisho alijitambua

kamwe huwezi kulinganisha january na Zitto... please stop insulting Zitto, january ni boya... full boya

Niambie wapi ameweza kuinitiate chochote au kufanya any critical appraisal ya chochote kile zaidi ya kupiga perepete kwenye social medial??

Lets be realistic wakuu.... Boya ni boya
 
JK amerahisisha sana hili swala la mtu kutaka kuwa rais... kesho unaweza sikia nae Nape anataka kuwa rais....
 
ben saanane anza na sugu wazir kivul,mbowe mwenyekiti wa chadema taifa ambaye na yeye alipata 0 form six.slaa elim yake ya kuungaunga kutoka chet hadi phd .then uweke cv yako hapa ndio makamba aje hatuwezi kuwa na double standard.kama unavyotaka
 

well said... unfortunately, Mfalme Juha ameshakalia kiti cha enzi na majuha wenzake wanaamini kabisa kwamba kuanzia sasa majuha wanastahili kuwa kwenye kichi cha enzi, na wanatumia vijuha vidogovidogo mavyuoni kupiga perepete

it is sickening kuona tutoto twa shule tunarukupuka, tena kwa promotions means za ajabuajabu kumpigia kelele boya asiyeweza chochote zaidi ya kuelea

Sijawahi ona contribution yoyote ya January popote zaidi ya udalali wa makampuni ya simu
 
Huoni bichwa lake lilivyo linaonesha kabisa darasani alikuwa Zero kabisa huyo January
 
Mheshimiwa Januari Makamba bado mchanga mno kwenye siasa, huwezi hata kumfikiria kwa nafasi ya uwaziri, SEMBUSE URAISI, MSIFANYE MCHEZO JAMANI NA NAFASI YA URAISI, huo unaibu waziri amepewa kwa majaribio lakini bado unaonekana kumshinda, ukitaka kujua kama bado hajakomaa kisiasa fuatilia suala dogo tu la sakata la kodi ya laini za simu ambavyo alianza kujihami kwenye mitandao ya kijamii kuonyesha kwamba hakuwa ameuafiki uamuzi wa Bunge wa kupitisha kodi ya laini za simu, yeye kama sehemu ya serikali hakutakiwa kukimbilia kwenye mitandao ya kijamii kuanza kujitetea kwa wananchi kwamba yeye ni msafi ila hao waliopitisha ile kodi ndio ambao hawawatakii mema wananchi, alitakiwa apambane na hilo suala humo humo ndani ya serikali bila kutuonyesha sisi wananchi kwamba yeye ndio mzuri na wengine ndio wabaya, hizo alizoonyesha ni siasa za kinafiki, mbali na hivyo alienda mbali zaidi na kuanzisha malumbano ya mipasho na Mheshimiwa John Mnyika, hilo lilikuwa ni suala la kipumbavu sana kufanywa na mtu kama yeye, Naibu Waziri unaanzisha malumbano ya mipasho, THAT WAS A VERY STUPID THING TO DO.
 
Huu uzi bila shaka unaenda kuvunja vunja kabisa kama siyo kumaliza kabisa ndoto za Urais wa bwa ndugu january. Siasa si lelemama
Pole!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…