Wana Jf,
Kama Kuna mwenye taarifa Za Elimu / Taaluma kuhusu viongozi wetu wa UKAWA kuanzia Mwenyekiti hadi viongozi nafasi Za chini Karibu tujadiliane.
LENGO ni kuanza kujihakiki wenyewe mapema na kutengeneza misingi bora kwa viongozi wetu wa hapo baadae.
Kama Kuna mwenye taarifa Za Elimu / Taaluma kuhusu viongozi wetu wa UKAWA kuanzia Mwenyekiti hadi viongozi nafasi Za chini Karibu tujadiliane.
LENGO ni kuanza kujihakiki wenyewe mapema na kutengeneza misingi bora kwa viongozi wetu wa hapo baadae.