Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
Mimi mjumbe tuu... c & p.Hii ni remix au?! Niliona uzi kama huu last week.
Niliuonaga kwenye group la whatsapp mwaka juziiiiiii khaaHii naona imekua wimbo wa taifa kwenye social networks
Basi poa.Mimi mjumbe tuu... c & p.
Kweli kaka ila wengi wenu mnaochit ni wajinga sana,nyumbani unataka kuishi kama mnyapala,kilakitu ukifanyiwa unahoji kwa kelele na ubabe eti `nani kakufundisha "alafu ukitoka unaenda kutembea na mwanamke unakua mpoleee wala hata huulizi!muosha huoshwa kaka ndio mwanamke anapoanza kutoka na yeye maana hata wewe huwa huna jipya unakojoa unalala kama mnyama pori.kumaliza kimeo cha kuchit inahitaji ujasiri wa pande zote mbiliMademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend
wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsu
"Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza
Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza
wewe Hasidi Fisadi namba 1 wa Mapenzi
usiyetosheka,Kwani Haikutoshi hii?"
Anatokwa Povu wakati In Reality HAKUNA
ANACHOFANYAGA...Anachojua ni Kubetua ile LOKI ya
Sidiria na Kujilaza Chanuu kusubiria Mkwaju..
Baada
ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya
takataka..Kazi yote ufanye wewe...
Sasa kuna
wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe
maana Ukifika mlangoni unadakwa kabla hata
hujavua viatu,Unafinywa Si kufinywa, Unameng'enywa na mchanganyiko wa Meno na Kucha
unabaki unaweweseka kama Kondoo aliyesahau
Mlango wa Banda..
Khanga ikianguka Mtoto ana
Shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua,Mguu
mmoja dirishani mwingine kwenye Feni..Ukija kutua
unasindikizwa na Busu la Sikio unaambiwa
Poleeee...halafu unapewa Juisi ya Embe huku
unakunwakunwa Ulale...
Sasa wewe unabetua Sidiria unatulia kama Ndama
mwenye Mdondo...Akimaliza unamwambia "SOGEA
HUKO TULALE UNANIBANA"
Asipochepuka labda ni Mhashamu Askofu
Mwandamizi wa Kigango cha Mavurunza.
C and P mim galacha mjumbe tuuu. Mjumbe hauliwi.
Ushauri wangu mapenzi ni ushirikiano. Jitumeni... jamanii.
umekutana na watoto wa mujini wewe,we hushangai mtu amevaa wigi lakini ukimshika nywele utasikia ooooh baby,ooooh ur killing me ooooh acha,wakati nywele sio yake ni wigi.Wasichana wengine wana lawama wakisikia boyfriend wake amecheat atapiga kelele atamsu "umekosa nini mwanaume huridhiki, utamaliza nyama bucha ileile, kwani mi sikupiiii, si nakuuliza wewe hasidi fisadi namba 1 wa mapenzi usiyetosheka, kwani haikutoshi hii?"
Anatokwa povu wakati in reality hakunaanachofanyaga anachojua ni kubetua ile loki ya sidiria na kujilaza chanuu kusubiria mkwaju.Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka kazi yote ufanye wewe.
Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu, unafinywa si kufinywa, unameng'enywa na mchanganyiko wa meno na kucha unabaki unaweweseka kama kondoo aliyesahau
Mlango wa banda khanga ikianguka mtoto ana shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua, mguu mmoja dirishani mwingine kwenye feni. Ukija kutua unasindikizwa na busu la sikio unaambiwa pole halafu unapewa juisi ya embe hukuUnakunwakunwa ulale.
Sasa wewe unabetua sidiria unatulia kama ndama mwenye mdondo akimaliza unamwambia "sogea huko tulale unanibana''asipochepuka labda ni mhashamu askofu mwandamizi wa kigango cha Mavurunza. C and P mimi Galacha mjumbe tu. Mjumbe hauliwi.
Ushauri wangu mapenzi ni ushirikiano. Jitumeni jamani.