Wasichana wengine wana lawama

Galacha Maestro

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,231
Wasichana wengine wana lawama wakisikia boyfriend wake amecheat atapiga kelele atamsu "umekosa nini mwanaume huridhiki, utamaliza nyama bucha ileile, kwani mi sikupiiii, si nakuuliza wewe hasidi fisadi namba 1 wa mapenzi usiyetosheka, kwani haikutoshi hii?"

Anatokwa povu wakati in reality hakunaanachofanyaga anachojua ni kubetua ile loki ya sidiria na kujilaza chanuu kusubiria mkwaju.Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka kazi yote ufanye wewe.

Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe maana ukifika mlangoni unadakwa kabla hata hujavua viatu, unafinywa si kufinywa, unameng'enywa na mchanganyiko wa meno na kucha unabaki unaweweseka kama kondoo aliyesahau

Mlango wa banda khanga ikianguka mtoto ana shanga kama 76 za rangi tofauti anakubidua, mguu mmoja dirishani mwingine kwenye feni. Ukija kutua unasindikizwa na busu la sikio unaambiwa pole halafu unapewa juisi ya embe hukuUnakunwakunwa ulale.

Sasa wewe unabetua sidiria unatulia kama ndama mwenye mdondo akimaliza unamwambia "sogea huko tulale unanibana''asipochepuka labda ni mhashamu askofu mwandamizi wa kigango cha Mavurunza. C and P mimi Galacha mjumbe tu. Mjumbe hauliwi.

Ushauri wangu mapenzi ni ushirikiano. Jitumeni jamani.
 
Kweli kaka ila wengi wenu mnaochit ni wajinga sana,nyumbani unataka kuishi kama mnyapala,kilakitu ukifanyiwa unahoji kwa kelele na ubabe eti `nani kakufundisha "alafu ukitoka unaenda kutembea na mwanamke unakua mpoleee wala hata huulizi!muosha huoshwa kaka ndio mwanamke anapoanza kutoka na yeye maana hata wewe huwa huna jipya unakojoa unalala kama mnyama pori.kumaliza kimeo cha kuchit inahitaji ujasiri wa pande zote mbili
 
umekutana na watoto wa mujini wewe,we hushangai mtu amevaa wigi lakini ukimshika nywele utasikia ooooh baby,ooooh ur killing me ooooh acha,wakati nywele sio yake ni wigi.
 
Tabia ya MTU ya MTU tu hata umpikie pilau kuku Kama kazoea kula kwa jirani atakula tu.
 
unapotaka kuyajua mapenzi na kukidhi vigezo vyote basi ondoa ile dhana ya kuhongwa. Wanawake wote walio after money ni magogo kupindukia.. Wanachokijua ni kuimba verser na kuitikia tu lakini hata kutingisha mguu hawezi...
 
Kweli mkuu..kuna watoto wakikupa Mambo mpaka unaiwaza waza nimemega mademu kama 134 hivi ila kuna hawa 3. ...Ni shida wanajua kuchza na mashne jamaanii...ila kuna lingine pamoja na gharama zangu nyingi nilizotumia aiseeee....Ilibidi nisamehe kitu lipo lipo tu halina lina chofanya ,,'..Demu mapenzi nouu kazi kulilia tu....jamani hayo makelele so inshu sana..ebu badiliken tena has a hawa mademu wanaojidai warembo mambo hawajui ...kabisa....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…