Hii dunia ina maajabu sana.Umdhaniaye ndiye kumbe siye.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza sana sipati jibu ni kwa nini watoto wa kike wa kilkole hasa akiwa mzuri na akasoma hadi chuo huwa ni warahisi sana kwa wanaume wahuni.
Licha ya tabia zao za kuwa na tamaa kubwa ya kuishi maisha ya ufahari,bado wanamudu kujificha katika kichaka cha ulokole ili wajipandishe thamani.Wanaweza wakamkazia kijana mstaarabu kwa vile tu hana kitu,ila akija muhuni huwa hawaagalii ana nini.Wako tayari kujiachia kwa siri na muhuni yeyote ambaye wanajua hawezi kuwaganda huku wakisubiri bahati ya kuolewa na mtu mwenye uwezo wa kumiliki angalau gari.
Kuna mdau humu yeye huwavizia kwa Mwamposa siku kama ya leo jumamosi na huwapata hata watatu kwa siku anatembea nao.
Wengine ni wataalamu wa kuchukua mabinti wanaoenda kwenye mikesha na kumalizana nao fasta kisha kuwaacha waendelelee na ibada ya mkesha.
Ninyi Dada zetu hizi roho za tamaa za mali,ufahari na mihemko ya mwili,kwa nini zibawatawala namna hii?Hamjiulizi wenzenu watoto wa kiislamu mbona ni wastaarabu kiasi fulani?
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza sana sipati jibu ni kwa nini watoto wa kike wa kilkole hasa akiwa mzuri na akasoma hadi chuo huwa ni warahisi sana kwa wanaume wahuni.
Licha ya tabia zao za kuwa na tamaa kubwa ya kuishi maisha ya ufahari,bado wanamudu kujificha katika kichaka cha ulokole ili wajipandishe thamani.Wanaweza wakamkazia kijana mstaarabu kwa vile tu hana kitu,ila akija muhuni huwa hawaagalii ana nini.Wako tayari kujiachia kwa siri na muhuni yeyote ambaye wanajua hawezi kuwaganda huku wakisubiri bahati ya kuolewa na mtu mwenye uwezo wa kumiliki angalau gari.
Kuna mdau humu yeye huwavizia kwa Mwamposa siku kama ya leo jumamosi na huwapata hata watatu kwa siku anatembea nao.
Wengine ni wataalamu wa kuchukua mabinti wanaoenda kwenye mikesha na kumalizana nao fasta kisha kuwaacha waendelelee na ibada ya mkesha.
Ninyi Dada zetu hizi roho za tamaa za mali,ufahari na mihemko ya mwili,kwa nini zibawatawala namna hii?Hamjiulizi wenzenu watoto wa kiislamu mbona ni wastaarabu kiasi fulani?