Ellen Lacha
Member
- Nov 15, 2013
- 55
- 8
Woman are you nuts?
Guess umeshajijibu mwwnyewe nani nuts btn us
Woman are you nuts?
Kamwambie huo u.p.upu hyo mkeo wa chumbani tuu akitka sawa na wengne hapa umenoa lol nilidhania nimekupaka ukweli ukszndka sasa naona hao fe wwnzako wamekupa u.pupu umezirai tna hvi haujishtukii..hakna mwanaume timamu ata mmoja anaekusupport ni wanawake tuu jamani no wonder you think like them ..huoni ata aibu kusema hadharani nakupa msongo Wa mawazo ..au unajipa mwwnyewe Kwa kufkiria kivivu..unajishushia hadhi Kwa jamii mwwnyewe Kwa unayo yaropoka umu sa vtu ka hvyo nani akuheshmu ..ukimbiwa unaanza kulia eti una shambuliwa nikwambieje..nimesma post zako nyingi you have that unatkana na Ku crash watu wasio kusupport wanakunyamazia ukaona sifa kumbe wanakudharau tuu hapa kisiki ndugu tna ntakuaibisha haswaaa...wastage my foot umelazmishwa kujibu u.pu.pu...cz ningekuwa sitoi point mishipa isingekusimama kulia na kwwnda kushtakiiii...embu nikutupe kule nadhani nadeal na mtu asie sawa
Haah hvi wewe ni male eeh?kwikwukwiii ok nilidhan female that's why nimekujibu kama female manake ideology zako ilikuwa ngumu saana kufkiria ni mwanaume kwwli anaeza kuwaza hvyo..mwanaume upewe msongo Wa mawazo na mwanamke etii ukashtaki dawati la jinsia!..mtumee sasa nakupata vzuri nilikuwa Nina argu na mtu Wa aina gani khaa hehehe ila sawa kna yule mwanamke hapo juu alie kusaidia baadhi ya vi term hapo naona sme staffs nilizoziongelea hapo juu znamuhusu saana aiseeeeeeeeee ..sijawahi kuona!..na hiz org za haki bongo zna kaz saana sjawah kuona mwanaume anaenda kushtaki jinsia anadai malipo kutka Kwa mwanamke sijawahiiiii!..emb nenda manake nimeongea na ndugu yangu flani mwandishi Wa habari amesema ataihitaji sana hyo habari akutosoe na picha atauza saana ..at weka heading MAAJABU YA MWAKA!
Mtu nimecheka tuu kuashiria piece.. he povu lishakutoka jamani!inferiority complex deal with it by yourself.. kumbe nyie ndo hamujiamini thats why mmekazania kila ktu ooh hawajiamini cz nyie hamjiamini mnadgani wote hivyo hivyoo..kweli nnakupa msongo Wa mawazo naona ata nikikatza tuu una puu..hahahahahhaaa poulee ngja ninyamaze nisje kukusababishia brain concuecium yakanikta ya lulu miee
So you are officially signing off! !!!!!!!!!!
Afadhali mana wagonjwa wa Brain concussion hudhani wenzao wana "concuecium" !!!!!!!
Ukija kusoma tena haya utapata fahamu!!!!
I didnt know una control traffic humu
Sawa mtabiri yahaya ngja nisubiri znirudi fahamu..
Bora wewe unaongea point na umezpanga..mijanamke mingi mivivuu that's why inaishia kuwaabudu ma maid cz wamewazd uchapakazi.hvi kupika knakushnda mfanyakaz akupikie,amuandalie mumeo nguo ..khaa ata mie ningekuwa mwanaume lazma nimkingie kifua unafoka nini?bt kama inajitma hakna mwanaume chiz ataacha kukuthamini..
tatizo usasa umewazidi hawa madada zetu wa kileo yaani mtu ampike mume wake,aoshe vymbo anaona atachafua kucha zake muda huo hana na instagram ataingia saa ngapi?,nguo zake kufua zinamshinda ataweza za mumewe??? Na wengine unakuta nyumba ya kawaida tu wamebahatika mtoto mmoja lakini ndani wafanyakazi wawili sasa sijui wote wa kazi gani ?? Maana yy amejitoa kabisa kwenye shughuli za nyumbani hata kuondoa glass kunamshinda yy akirudi kutoka kazini anataka afikie kwenye t.v tu hana time ya kuikagua nyumba kwa kitu chochote sema ni bingwa wa kutoa maelezo,sipati picha angekuwa na watoto wanne sijui angekuwa na wafanyakazi wa ngapi??
tatizo usasa umewazidi hawa madada zetu wa kileo yaani mtu ampike mume wake,aoshe vymbo anaona atachafua kucha zake muda huo hana na instagram ataingia saa ngapi?,nguo zake kufua zinamshinda ataweza za mumewe??? Na wengine unakuta nyumba ya kawaida tu wamebahatika mtoto mmoja lakini ndani wafanyakazi wawili sasa sijui wote wa kazi gani ?? Maana yy amejitoa kabisa kwenye shughuli za nyumbani hata kuondoa glass kunamshinda yy akirudi kutoka kazini anataka afikie kwenye t.v tu hana time ya kuikagua nyumba kwa kitu chochote sema ni bingwa wa kutoa maelezo,sipati picha angekuwa na watoto wanne sijui angekuwa na wafanyakazi wa ngapi??
Kuna mkaka mmoja aliwahi kuleta thread umu...eti siku maid na wife walitoka.aka amua kwwnda kusearch Kwa maid rum cz Hawa iniki Hawa.kufka akakta chini ya godoro kaweka mivtambaa ya hedhi kairundka inanukaa alafu kna kimkeka kdogo kakvikunjia umo na soxy za hyo Mr!his favourite!.. maskin mkaka wa watu akawa anaomba ushauri afanyaje?cz hawez kumwambia maza house kuwa ameenda kumkagua maid atamuhis vbaya,bt pia anasema kilichompelekea mpaka kuingilia kati kuchunguza usalama Wa nyymba yake ni kwakuwa wife kajibweteka saana anamuamini kuptiliza au sijui ndo wanaita kujiamni wengne..,sa vtu kama hvi kweli mwanaume anakuonaje?...unakta familia nyngne maid ndio anajua info zote kuhusu nyumba mama hajui..sa why baba asimuulize maid?..so automatically maid atakuwa close saana na mzee maana ndo anaejua vingii..afu tunalaumu nini.ila bra wanaolaumu wengne ata hvyo wanaona shega tuu ...Dunia ya sasa haiaminiki ..ndugu tuu unaishi nao Kwa machale ije kuwa maid.Mimi Nina mikasa mingi nimeshaskia mama mkwe Wangu alishawahi mpaka kuishi na devil agent akzani maid tuu kumbe!..mtu humjui alipotokea,kalelewaje,undani mwake ..unamuajiri ndani unammilikisha kila Ktu..watoto,nyumba,chakula,mpaka nguo za mumeo kweli?..ukiuliza kujiamini haya ila mie nadhani being a wife nayo ni talent Fulani lazma uwe mtundu,mjanja,na mwenye hekma saana ..upole ..wema sawa bt sio ujinga
U are among....treat others fairly!!!swala la kununua tv ya chumbani linategemea uchumi wa mtu na mazingira anayoishi. usifikiri kuwa kilamtu ana uwezo wa kununua tv kila chumba na ana space kubwa huko chumbani. pia inategemea unadefine vipi unyanyasaji, kwangu mimi huo si unyanyasaji bali ni kujenga kiwango Fulani cha heshima ndani ya nyumba.
Unaonekana unayo roho mbaya sana wewe...learn to love others!!nakubaliana na wewe ila kuna baadhi ya vitu nitapinga. siwezi kuwa sebuleni na mume wangu tunaangalia program Fulani kewnye tv au tuna mazungumzo Fulani alafu eti dada awe hapo pembeni....NEVER. dada hawezi kupika chakula alafu eti akawa wa kwanza kupakua na kula...NEVER
nakubaliana na wewe ila kuna baadhi ya vitu nitapinga. siwezi kuwa sebuleni na mume wangu tunaangalia program Fulani kewnye tv au tuna mazungumzo Fulani alafu eti dada awe hapo pembeni....NEVER. dada hawezi kupika chakula alafu eti akawa wa kwanza kupakua na kula...NEVER