Wasichana wa Kazi na akina mama, Tatizo nini?

Uwezo wa kuelewa mdogo,maraaa oonh shule sijui imefanyaje!!!!!!
Sasa huku si kumshambulia mtu kwa "imaginary" mapungufu alojaaliwa!!!!!?????
Au huo ni wasifu tu niupokee kwa mikono miwili "kama tufanyavyo maofisini na majumbani" mbele ya mabosi wetu" hata kama hatumaanishi heshima kihivyo!!!!!

Was good chattin bhana no hard feelings wala grudges pamoja sissie Ellen Lacha meet you huko kwa thred nyinginezo!!!!!!

Sawa olei samahanii...kna post siikumbuki dzain kama ulinidiss hvi bla kuniambia nimekosea wapi and there is where nika anza na mie kurudsha hzo terms. am sorry bro wala sikuchukulii hvyo naongea tuu katka kueleweshana mbna una terms za kisomi wala usinikeep in mind that was just trying to swing your way..pamja
 
Last edited by a moderator:
Uwezo wa kuelewa mdogo,maraaa oonh shule sijui imefanyaje!!!!!!
Sasa huku si kumshambulia mtu kwa "imaginary" mapungufu alojaaliwa!!!!!?????
Au huo ni wasifu tu niupokee kwa mikono miwili "kama tufanyavyo maofisini na majumbani" mbele ya mabosi wetu" hata kama hatumaanishi heshima kihivyo!!!!!

Was good chattin bhana no hard feelings wala grudges pamoja sissie Ellen Lacha meet you huko kwa thred nyinginezo!!!!!!

Finally!!Such a waste of time and energy. Next time nakuburuza by force.
 
Last edited by a moderator:
M good K!!!!!

Sisi tunaambiwa hatuna shule na tusifikiri tukiwalea vizuri nao watakuwa wema! !!!!!!!!
Nimeona bwana but nimeshangaa kweli kuona mama mwenye nyumba hajui hadhi yake, mpaka baba mwenye nyumba aingilie kati. Ni kutojiamini au?
 
Sawa olei samahanii...kna post siikumbuki dzain kama ulinidiss hvi bla kuniambia nimekosea wapi and there is where nika anza na mie kurudsha hzo terms. am sorry bro wala sikuchukulii hvyo naongea tuu katka kueleweshana mbna una terms za kisomi wala usinikeep in mind that was just trying to swing your way..pamja

All best!!!
 
Nimeona bwana but nimeshangaa kweli kuona mama mwenye nyumba hajui hadhi yake, mpaka baba mwenye nyumba aingilie kati. Ni kutojiamini au?

Mwanaume kuingilia kati inategemea na how strong bond yako na mumeo IPo..mwanaume anae kupenda ataumia unapoumizzwa,atakereka unapokereka,atakwazka unapokwazwa tna sometimes anaeza kureact zaidi ata ya wewe..sio matter ya kutjiamini au vpi hapo.
 
Mwanaume kuingilia kati inategemea na how strong bond yako na mumeo IPo..mwanaume anae kupenda ataumia unapoumizzwa,atakereka unapokereka,atakwazka unapokwazwa tna sometimes anaeza kureact zaidi ata ya wewe..sio matter ya kutjiamini au vpi hapo.

Yeah kwa mwanaume mwenzie. Mfano umeshikwa ----. But kwa dada wa kazi? Oh please.
 
Nikuburuze twenzetu nikikuona una reason pasipo wezekanika.

Ha haaaa sasa naona "westgate" inaninyemelea! !!!!!!!
Jua kuna dawati la jinsia lakini,will take you there na sintotaka ufungwe ila unilipe sababu ya kuharibu utu wangu mbele ya jamii na kusababisha msongo wa mawazo kwa nguvu kazi ya Taifa!!!!
 
Na kuwakaripia unnecesarily yaani mtu akiuziwa kazini hasira zake zote kwa mfanyakazi,akigombana na mmewe mfanyakazi atajuta,akijibiwa vibaya na shosti mfanya kazi wa ndani yuko responsible alafu kazi zingine hata sio za kufanya mfanya kazi wa ndani ni kujilemaza tu kupika mwanamke hapiki yuko busy,hafuihamnyoshei nguo mumewe,hamtengei maji,wala chakula anafikiri yy wajibu wake ni chakula cha usiku tu kumbe haya mambo madogo madogo pia yanaongeza mapenzi na kuonyesha umuhimu wako,wengine watasingizia busy na kazi mpk j2,wanawake badilikeni na muache kuwagombeza wafanya kazi wenu bila ya sababu za msingi
 
Na kuwakaripia unnecesarily yaani mtu akiuziwa kazini hasira zake zote kwa mfanyakazi,akigombana na mmewe mfanyakazi atajuta,akijibiwa vibaya na shosti mfanya kazi wa ndani yuko responsible alafu kazi zingine hata sio za kufanya mfanya kazi wa ndani ni kujilemaza tu kupika mwanamke hapiki yuko busy,hafuihamnyoshei nguo mumewe,hamtengei maji,wala chakula anafikiri yy wajibu wake ni chakula cha usiku tu kumbe haya mambo madogo madogo pia yanaongeza mapenzi na kuonyesha umuhimu wako,wengine watasingizia busy na kazi mpk j2,wanawake badilikeni na muache kuwagombeza wafanya kazi wenu bila ya sababu za msingi

Bora wewe unaongea point na umezpanga..mijanamke mingi mivivuu that's why inaishia kuwaabudu ma maid cz wamewazd uchapakazi.hvi kupika knakushnda mfanyakaz akupikie,amuandalie mumeo nguo ..khaa ata mie ningekuwa mwanaume lazma nimkingie kifua unafoka nini?bt kama inajitma hakna mwanaume chiz ataacha kukuthamini..
 
Ha haaaa sasa naona "westgate" inaninyemelea! !!!!!!!
Jua kuna dawati la jinsia lakini,will take you there na sintotaka ufungwe ila unilipe sababu ya kuharibu utu wangu mbele ya jamii na kusababisha msongo wa mawazo kwa nguvu kazi ya Taifa!!!!

Wanasemaga wastage wewe -----...utabakia hvyo hvyo kushangaa wenzako wanajaliwa unaponda watu wengne jamaniii..yaani mtu unashauriwa jinsi ya kujipa value Kwa mumeo una tishia kushitakii khaa ..mawazo yako yapo uko uko kingono ngono tuu no wonder eti kuingilia mpaka mwanaume mwenzie aki....nyie ndo mnaoletewaga surprise notes kuachwa mnakimbilia ustawi mwanamke ka wewe in any case u deserve worse lol embu ngja nikutpe kulee ungejua ata hao wanaume unaojipendekeza kwao wanakushangaa...wait..hvi kwanini watu wanapayuka kawambwa anawaonea?Kwa this rate ya wapumbavu lazma zero ziwe nyingiii...kuingilia tuu chats zisizokuhusu..tujibshane na mwingne chupi ikubane wewe vpiii
 
Wanasemaga wastage wewe -----...utabakia hvyo hvyo kushangaa wenzako wanajaliwa unaponda watu wengne jamaniii..yaani mtu unashauriwa jinsi ya kujipa value Kwa mumeo una tishia kushitakii khaa ..mawazo yako yapo uko uko kingono ngono tuu no wonder eti kuingilia mpaka mwanaume mwenzie aki....nyie ndo mnaoletewaga surprise notes kuachwa mnakimbilia ustawi mwanamke ka wewe in any case u deserve worse lol embu ngja nikutpe kulee ungejua ata hao wanaume unaojipendekeza kwao wanakushangaa...wait..hvi kwanini watu wanapayuka kawambwa anawaonea?Kwa this rate ya wapumbavu lazma zero ziwe nyingiii...kuingilia tuu chats zisizokuhusu..tujibshane na mwingne chupi ikubane wewe vpiii


Whaaaaat!!!!!!!! are you serious???????
I believe you need to check the adress properly!!!!!!
 
Ha haaaa sasa naona "westgate" inaninyemelea! !!!!!!!
Jua kuna dawati la jinsia lakini,will take you there na sintotaka ufungwe ila unilipe sababu ya kuharibu utu wangu mbele ya jamii na kusababisha msongo wa mawazo kwa nguvu kazi ya Taifa!!!!

Haah hvi wewe ni male eeh?kwikwukwiii ok nilidhan female that's why nimekujibu kama female manake ideology zako ilikuwa ngumu saana kufkiria ni mwanaume kwwli anaeza kuwaza hvyo..mwanaume upewe msongo Wa mawazo na mwanamke etii ukashtaki dawati la jinsia!..mtumee sasa nakupata vzuri nilikuwa Nina argu na mtu Wa aina gani khaa hehehe ila sawa kna yule mwanamke hapo juu alie kusaidia baadhi ya vi term hapo naona sme staffs nilizoziongelea hapo juu znamuhusu saana aiseeeeeeeeee ..sijawahi kuona!..na hiz org za haki bongo zna kaz saana sjawah kuona mwanaume anaenda kushtaki jinsia anadai malipo kutka Kwa mwanamke sijawahiiiii!..emb nenda manake nimeongea na ndugu yangu flani mwandishi Wa habari amesema ataihitaji sana hyo habari akutosoe na picha atauza saana ..at weka heading MAAJABU YA MWAKA!
 
Wanasemaga wastage wewe -----...utabakia hvyo hvyo kushangaa wenzako wanajaliwa unaponda watu wengne jamaniii..yaani mtu unashauriwa jinsi ya kujipa value Kwa mumeo una tishia kushitakii khaa ..mawazo yako yapo uko uko kingono ngono tuu no wonder eti kuingilia mpaka mwanaume mwenzie aki....nyie ndo mnaoletewaga surprise notes kuachwa mnakimbilia ustawi mwanamke ka wewe in any case u deserve worse lol embu ngja nikutpe kulee ungejua ata hao wanaume unaojipendekeza kwao wanakushangaa...wait..hvi kwanini watu wanapayuka kawambwa anawaonea?Kwa this rate ya wapumbavu lazma zero ziwe nyingiii...kuingilia tuu chats zisizokuhusu..tujibshane na mwingne chupi ikubane wewe vpiii

Woman are you nuts?
 
Ha haaaa sasa naona "westgate" inaninyemelea! !!!!!!!
Jua kuna dawati la jinsia lakini,will take you there na sintotaka ufungwe ila unilipe sababu ya kuharibu utu wangu mbele ya jamii na kusababisha msongo wa mawazo kwa nguvu kazi ya Taifa!!!!

Kamwambie huo u.p.upu hyo mkeo wa chumbani tuu akitka sawa na wengne hapa umenoa lol nilidhania nimekupaka ukweli ukszndka sasa naona hao fe wwnzako wamekupa u.pupu umezirai tna hvi haujishtukii..hakna mwanaume timamu ata mmoja anaekusupport ni wanawake tuu jamani no wonder you think like them ..huoni ata aibu kusema hadharani nakupa msongo Wa mawazo ..au unajipa mwwnyewe Kwa kufkiria kivivu..unajishushia hadhi Kwa jamii mwwnyewe Kwa unayo yaropoka umu sa vtu ka hvyo nani akuheshmu ..ukimbiwa unaanza kulia eti una shambuliwa nikwambieje..nimesma post zako nyingi you have that unatkana na Ku crash watu wasio kusupport wanakunyamazia ukaona sifa kumbe wanakudharau tuu hapa kisiki ndugu tna ntakuaibisha haswaaa...wastage my foot umelazmishwa kujibu u.pu.pu...cz ningekuwa sitoi point mishipa isingekusimama kulia na kwwnda kushtakiiii...embu nikutupe kule nadhani nadeal na mtu asie sawa
 
Ha haaaa sasa naona "westgate" inaninyemelea! !!!!!!!
Jua kuna dawati la jinsia lakini,will take you there na sintotaka ufungwe ila unilipe sababu ya kuharibu utu wangu mbele ya jamii na kusababisha msongo wa mawazo kwa nguvu kazi ya Taifa!!!!

Mtu nimecheka tuu kuashiria piece.. he povu lishakutoka jamani!inferiority complex deal with it by yourself.. kumbe nyie ndo hamujiamini thats why mmekazania kila ktu ooh hawajiamini cz nyie hamjiamini mnadgani wote hivyo hivyoo..kweli nnakupa msongo Wa mawazo naona ata nikikatza tuu una puu..hahahahahhaaa poulee ngja ninyamaze nisje kukusababishia brain concuecium yakanikta ya lulu miee
 
wana huruma sana, kuna baadhi ya familia unakuta BABA/Mlinzi/Mvulana wa nyumbani wote wanapewa dudu na msichana wa kazi
 
Back
Top Bottom