Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
- Thread starter
- #61
Mpendwa Dena,mi nadhani mapenzi hayapangwi,ni mola tu ndo anakukutanisha na mpendwa wako. Kama kweli kuna watu wanakaa na kuanza kuandika specifications na rules and regulation za mapenzi na mpenzi mtarajiwa najua itasumbua wengi. Kwenye website yangu nshawahi kuandika kuwa mapenzi hayapangwi pia huwezi ukajua kuwa miaka flani ijayo utakuwa umeolewa au umeoa mtu flani. Ni vigumu sana. Anyway nadhani tuelewe kuwa kupendana ni implied event, Dena nadhani uyo uliyenae ulimuelewa vizuri baada ya kuwa nae si kabla ya kuwa nae. Anawezasema sijaoa kumbe miaka 3,7,au kumi nyuma alishafarakana. Mi nadhani tuangalie upendo wa kweli. Dena,siku njema.
Nashukuru sana lakini mie wangu sijaachana nae nimewaona wanaofanya hivyo ndo maana nikasema