Wasichana wa JF ambao hamjaolewa

Mpendwa Dena,mi nadhani mapenzi hayapangwi,ni mola tu ndo anakukutanisha na mpendwa wako. Kama kweli kuna watu wanakaa na kuanza kuandika specifications na rules and regulation za mapenzi na mpenzi mtarajiwa najua itasumbua wengi. Kwenye website yangu nshawahi kuandika kuwa mapenzi hayapangwi pia huwezi ukajua kuwa miaka flani ijayo utakuwa umeolewa au umeoa mtu flani. Ni vigumu sana. Anyway nadhani tuelewe kuwa kupendana ni implied event, Dena nadhani uyo uliyenae ulimuelewa vizuri baada ya kuwa nae si kabla ya kuwa nae. Anawezasema sijaoa kumbe miaka 3,7,au kumi nyuma alishafarakana. Mi nadhani tuangalie upendo wa kweli. Dena,siku njema.

Nashukuru sana lakini mie wangu sijaachana nae nimewaona wanaofanya hivyo ndo maana nikasema
 
utafiti wako ni batili na hitimisho lako ni lakupotosha.rudia tena huu utafiti na ukishindwa omba msaada kabla ya kufanya conclusion ya namna hii

Sitarudia na ndio conclusion yangu hiyo. Kama unaona thread haifai ipotezee si lazima uchangie
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

Mpendwa Dena,

Asante kwa uchunguzi wako...

Lakini je, ulibahatika kujua sababu za hawa wanaume 25 kuachana na wake zao?, je zote zinafanana?

Na je, kuna sababu nyingine tofauti na hizo ulizoambiwa zinazoweza kupelekea Mwanaume kuachana na Mke wake?

Naomba ufafanuzi tafadhali
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11


Sasa nimekuelewa DA,hapo kwenye RED!!!!Ni kwamba mwanamke asikubali kuolewa na bwana alieacha mke wake, LAKINI HATA HIVYO ANAWEZA KUWA MPANGO WA NJE WA HUYO BWANA!!!!
 
Dena umefanya makosa kusema wasikubaliwe kabisa!Ungesema watu wachunguze na wawe waangalifu hapo sawa..ila kumkatalia mtu bila kuangalia yaliyosababisha inakua hatuwatendei haki kaka zetu!Kuna wanawake ni mwisho wa kipimo cha uvumilivu..nimeona mwenyewe!Alafu mtu wangu wa karibu kaolewa na ndoa ina miaka 12...mume hana tatizo,mke ndo alishindikana!
 
Mpendwa Dena,

Asante kwa uchunguzi wako...

Lakini je, ulibahatika kujua sababu za hawa wanaume 25 kuachana na wake zao?, je zote zinafanana?

Na je, kuna sababu nyingine tofauti na hizo ulizoambiwa zinazoweza kupelekea Mwanaume kuachana na Mke wake?

Naomba ufafanuzi tafadhali

Sababu karibuni zote zinafanana kabisa mwingine na nyingi ni za mapenzi tu na nyingine jaamaa anakuwa mariooooooooooo
 
Dena umefanya makosa kusema wasikubaliwe kabisa!Ungesema watu wachunguze na wawe waangalifu hapo sawa..ila kumkatalia mtu bila kuangalia yaliyosababisha inakua hatuwatendei haki kaka zetu!Kuna wanawake ni mwisho wa kipimo cha uvumilivu..nimeona mwenyewe!Alafu mtu wangu wa karibu kaolewa na ndoa ina miaka 12...mume hana tatizo,mke ndo alishindikana!

Lizzy utakuwa mwangalifu sana lakini ukiingia ndani makucha yanatokeza utafanyaje??????????????
 
It is very wrong! love is a soft game and very subjective in nature. whatever happened to you might not neccesary happen to the other. Your advice might end up into confussion and denying others previlages. Waache waende ili nao wasimulie, hakika siyo wote watakao jutia kama unavyofikiri
 
It is very wrong! love is a soft game and very subjective in nature. whatever happened to you might not neccesary happen to the other. Your advice might end up into confussion and denying others previlages. Waache waende ili nao wasimulie, hakika siyo wote watakao jutia kama unavyofikiri

Prevention is better than...........................
 
mmh shostito apo kuna mawili mama
1.kuna aliyeachana na mkewe kwa sababu za msingi kabisa
2.kuna walioachana na wake zao kwa ugume gume wao....
cha msing siyo kukupuruka ....mkae vkao na umdadis kwakina ndo utajua nin kilimsibu kinyume na hapo imekula kwako
km vile kuna wanawake mashetani...i do blv umesoma boardng skul hasa za wasichana tupu yan kuna bnadamu wengne wana tabia ngumu sana huwez ishi nae ,awez ishi na mtu she z so dfcult so hard ni mbish kwa kila kona yeye yupo kivyake tu na idea zake iki ni kisu lakin anaweza sema i ni sufuria...kuna tabia mbalimbali mpk mnasema mmh uyu atakaye kuwa mume wake atakuwa na tabu....alikadhalika na wanaume the same...ni mbishi tu mwanzo mwsho iz ol abt him thats ol....so km ikitokea umemuoa uyo na badaye ukashndwa nae apo mi ntaelewa....kuna bnadamu wengne si wakuish nao.

Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi.. :teeth: kuna wanaofaa kwa disco, beach, shows. Ukimuweka ndani umekwisha
 
Habari zenu wote.

Katika pita pita zangu nimekutana na mambo mengi ambayo yamekuwa yakinishangaza sana. Katika wanaume 25 walioachana na wake zao (niliowafanyia uchunguzi) hawawi na mapenzi tena. Kama kuna msichana humu akikutana na mwanaume kama huyu namshauri akae mbali nae kabisa na uweze kujiuliza maswali yafuatayo:
1. Kwanini aliachana na huyo mkewe??
2. Wewe unakipi kipya hasa ambacho utamfanya asikuache kama huyo mwingine??
3. Kakufuata wewe kwa sababu gani??? (Pesa, uzuri, nk)
4. Alikuwa anatafuta pa kupumzika then ale kona lakini ukambana akashindwa kuchomoka
5. Endeleza na sababu zako nyingine nyingiiiiiiiiiii

NB: Usikubali kuolewa na mwanaume alieacha mkewe wa ndoa kamwe!!!!!!!!!!!!!!!11

Hivi humu mnamzungumzia mzee madiba au?
 
sasa nimekuelewa da,hapo kwenye red!!!!ni kwamba mwanamke asikubali kuolewa na bwana alieacha mke wake, lakini hata hivyo anaweza kuwa mpango wa nje wa huyo bwana!!!!

ama hakika wewe umeiva kwenye somo la jana......chama kinakuangalizia nafasi ya uongozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom