mnyandzombe
JF-Expert Member
- Jul 24, 2015
- 245
- 194
Hivi wasichana wa siku hizi wanapotongozwa bado wanang'oa nyasi au kukata majani na kuchimba ardhi kwa miguu?
kwanini unapenda kukaa na dada zako??Ngoja nimuulize dada yangu
Sitakagi ujinga![]()
unamtongoza demu kashalewa hana hata aibu unafikiri atang'oa nyasi saa ngapi
wewe shimo kubwa ulilochimba lilikua la futi ngapiSiku hizi kutongoza ni kutuma tu vi emoji, hakuna cha kuchuma majani wala maua....
Ila wanawake walikuwa wanapata shida hadi amalize kutongozwa,kishachimba shimo la futi kadhaa
Hivi wasichana wa siku hizi wanapotongozwa bado wanang'oa nyasi au kukata majani na kuchimba ardhi kwa miguu?
Shimo la taka kabisa, futi nnewewe shimo kubwa ulilochimba lilikua la futi ngapi
dah kwel ulitoa kaliNinakumbuka nikiwa kwenye puberty age, mama aliniambia nikachukue makufuli dukani. Lilikuwa ni duka la Mwarabu na alikuwa ametoka, vijana wake walikuwa wanauza duka, nilikuwa na crush na mmoja wao, basi nilishindwa kabisa kusema ninataka pichu, waliniuliza unataka nini? Nikasema nimekuja kununua pichu za mdogo wangu, walinipa size ndogo. Nimefika nyumbani mama ananiambia huwezi kuvaa hizi, amezirudisha dukani, kufika pale vijana wakamwambia mama dada alituambia ni za mdogo wake.
Wachimbe LAMI kwa miguu.labda kwa bush.dar ilishakufaga nyasi zenyewe adimu
Ninakumbuka nikiwa kwenye puberty age, mama aliniambia nikachukue makufuli dukani. Lilikuwa ni duka la Mwarabu na alikuwa ametoka, vijana wake walikuwa wanauza duka, nilikuwa na crush na mmoja wao, basi nilishindwa kabisa kusema ninataka pichu, waliniuliza unataka nini? Nikasema nimekuja kununua pichu za mdogo wangu, walinipa size ndogo. Nimefika nyumbani mama ananiambia huwezi kuvaa hizi, amezirudisha dukani, kufika pale vijana wakamwambia mama dada alituambia ni za mdogo wake.
MmmhhhWa siku hizi kama anakupenda ama kukukubali anajipiga vidole mbele yako huku akikuambia lamba kama unanipenda kweli. Ukilamba anakupa hata jalalani.