Pole Madam T naamini hukutapika, ndio muwafundishe wadada wenzenu usafi hatuyapendi hayo makucha yenu na ile harufu mbaya wakati wa game
Nimefurahishwa na huu uzi,
binafsi nina kucha ndefuuu zenye
mvuto na sina mpango wa kuzikata.
hahahahhahah, mkwe mutoto ya mujini eeeeh? loh. mambo yote cute saloon mkwe, kesho naenda kubandika visigino.[/QUOTE]
Haha haha aa...mi nimeipenda sana hii l.o.l
nimefurahishwa na huu uzi,
binafsi nina kucha ndefuuu zenye
mvuto na sina mpango wa kuzikata.
hamisi kishidinda yupo?
Nani anakudanganyeni? tatizo mkiambiwa majumbani tena laivu mnaweka mgomo wa unyumba hapa JF utamgomea nani unazani? toeni mikucha hiyo bana inasababisha tetanus (Dr Riwa atasibitisha hii)
makucha tunafuga kwa raha zetu. Kinaachwa kidole kimoja.
Kipi hicho?
kirefu. Lol
Ni cha kati si ndio ee
Nimefurahishwa na huu uzi,
binafsi nina kucha ndefuuu zenye
mvuto na sina mpango wa kuzikata.
makucha tunafuga kwa raha zetu. Kinaachwa kidole kimoja.